Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,664
Facebook members ! Napita niko mitaa ile-kule!
mpe basi mwenzio walau baraka zako, au hutaki ampate kimwana!!
Facebook members ! Napita niko mitaa ile-kule!
hapo kwenye red inaonyesha jinsi gani ulivyo mdau wa vyangudoa,hakuna kutongoza kule..sijui kadi,sijui tukanywe juisi,none of that bullsh*t...all the best player
Thanx wakusoma kwanza nilikumic xana manake toka uweke post ya matokeo yako cjakuona tena, pili haya maisha ye2 wote leo kwangu kesho kwako. Tatu, kwa comment yako tu naamini SUZY atanikubali c 2 kuwa boyfriend wake bt kuwa husbnd,
Ntarudi kuwajuzeni kesho yaliyojili.
U malayamalaya tu, unaamka asbh yote hii unatuletea ***** humu kwa watu wa namna yako hatuwezi kuendelea.
Mimi weekend hii ntakuwa na ratiba kubwa ambayo haijawahi kutokea ktk maisha yangu kwani nimepeana promise na mrembö mmoja ambaye nimempenda sana yani nipo tayari kuwa naye maishani mwote, sasa kesho ndo ntakutana naye ili ni2pe MANENO. Sijawahi kumwambia dada yoyote nakupenda yaani kumtongoza hivyo kwangu event ya kesho ni kubwa hapana kutokea.
BARAKA ZENU NAOMBA ILI NIKUBALIWE!!
Nani atakuwa na Event kubwa kama yangu ama inaendana na yangu?
Good lucky ya nini kwangu wakati sina ki-date bana...aaahh!.good lucky to you too.....
itakua ile ya mwana asha
WAPENDWA WANA JF,
Nina furaha kubwa sana baada ya weekend yangu kwenda vizuri kwa asilimia 99.9, nashukuru kwa BARAKA zenu, kwani kama nilivyowaambia kuwa ntakuwa na meeting na dada mmoja aitwaye suzy, kwa ajili ya kumweleza UPENDO wangu kwake.Nashukuru zoezi lilienda vizuri japo lilichukua takriban masaa manne kuwa kufikia muafaka, hatimaye dada akanikubalia, hivyo basi NIPENDE KUTOA SHUKRANI ZENU KWA KUNIPA MKONO WA BARAKA, Japo nitawaitaji tena katika ushauri hasa katika maisha yetu na my wifw to be. Usiku mwema.