Sasa nilichokosea mimi nini??ok,basi naomba kutoka na wewe.
Nikubalie mwenzio,nipo tayari kukupa hata roho yangu.
Achana nae bana, huyu anatafuta umaarufu kwa staili ya kuchafua majina ya wenzie!
Mwandiko wako tu unaonyesha kuwa wewe ni mwanaume tena wa shoka! Asikuzingue, usiharibu siku yako dakika za majeruhi. Mpotezee kabisa!
Nitonye tokea atumie avatar aliyowahi kutumia kakiiza simwamini kabisa
****** mwingine nashangaa kwanini unaachwa na mods. Watu kama wewe ndio mnaichafulia hadhi JFSamahani ndugu,kumbe we "M"!!siunajua jf hakuna picha wala nini!!punguza mipasho wewe,mimi nilikuwa na jua wewe ni binti wa kitanga au zanziber!!kumbe nimeingia chuo cha MASHETANI..!!
Je na huyo mwenzio Mpwa wako "REJAO" nae ni MKE AU MME??yaani ni Bi.Rejao au Bw.Rejao??
****** mwingine nashangaa kwanini unaachwa na mods. Watu kama wewe ndio mnaichafulia hadhi JF
****** mwingine nashangaa kwanini unaachwa na mods. Watu kama wewe ndio mnaichafulia hadhi JF
Wee,... unajua maana ya kuchafuana?
Samahani ndugu,kumbe we "M"!!siunajua jf hakuna picha wala nini!!punguza mipasho wewe,mimi nilikuwa na jua wewe ni binti wa kitanga au zanziber!!kumbe nimeingia chuo cha MASHETANI..!!
Je na huyo mwenzio Mpwa wako "REJAO" nae ni MKE AU MME??yaani ni Bi.Rejao au Bw.Rejao??