Website ya Wizara ya Mambo ya Ndani yachakachuliwa (HACKED)

nyie vijana mnaojifunza hacking mnasumbua sana.i wl expose you one after another in a matter of minutes.kaeni chonjo

Mazoezi yao yanaweza kuwa ni whistle blowing to the ministry! How come the Government fail to secure its website? Tena website ya MoHA, kweli!!!

Ni wakati Dr. Nchimbi afikirie nje ya box... Nnavyomjua huyu jamaa sijui....
 
DU hawa jamaa ni magamba kweli yaani CIA Unaweza huck. hii ni wizara ambayo kunatakiwa kuwe na ma IT Wa ukweli sio kubabaisha. Magamba subirini tu hata hayo mapesa yenu mnayoiba mtashindwa kuyala kwa kucheza na usala wa nchi.
 
Serikali inabidi iwe makini sana na haya mambo wasichukulie for granted.

Kesho mtu ata HACK site ya Ikulu halafu ataweka tangazo Kikwete ameachia ngazi ilete mtafaruku
 
hii ni dharau kwa IT husika maana umeshindwa kulinda ofisi yako. swala la security ni la kwanza kwa maIT wote ila kama ulipewa kazi kwa mgongo wa baba au shemeji achia ngazi vijana waingie kazini
 
Hizo kazi vijana wanafanyia Internet Cafe

Halafu tatizo bado tuna usalama wa Taifa wa kizamani wa kubeba bastola na kucheza Judo
 
Watu wanataka kuvuta tu!! Wanaofanya haya ndo hao hao wanaofanya na wizara!!!
 
Halafu kweli kuna watu wanasema UwT wapo imara wanailinda nchi!!!

My foot...
 
josephmasamaki Sasa unaposema shame kwa nchi kivipi? ... Kwani ni nchi moja tu ndio huwa inakuwa attacked! .. (HACKED)!

Huyu jamaa ame-hack za nchi nyingi tu ... hiii leo

www.salaheddineraoud.com

gentedesanfernando.com

meqg.com

www.sarlseconseil.fr

www.corpoguajira.gov.co/home/index.php

www.salaheddineraoud.com

www.monitormyservers.com


Hizo ni baadhi tu alizo-ziatack kwa leo ... ila ni zaidi ya 1,000

Tatizo ni la watu kutokuwa waangalifu kwenye Security
.
Nimekupata Dotworld...
 
Tatizo mambo ya IT watu mnachukulia poa,unakuta mtu eti ni IT personnel background yake alichosoma utacheka.So hii mi naona ni challenge na kama vipi watangaze kazi za "IT security officers".Watu wakisha ajiliwa wanarelax,there is a cyber war going on.Vulnerability test zero,port scanning kushine,IPS,IDS hawazijui,Access control list,ndiyo nini hizi?,password zao ni defaul pswd.Wengi wanadhani antivirus ndiyo kila kitu,poor IT.When it comes to security,trust no one even yourself.

Hapo ume-hit point ndg! na nnadhani pia ni kutokana na kila ka-chuo (college/institute/etc) kuanzisha IT, unakuta wanaosoma Bachelor of IT wote wamesoma HKL combination ambayo haina uhusiano kabisa na Science!!!
 
Lokissa ... hakuna kinchoshindikana ... sema tu labda wewe hujui unachokiongea!!

.. kwanza mbona rahisi sana tu!

Alafu huyo alie-hack hiyo ya Mambo ya ndani ... katumia bado tech za kitoto/za kizamani za sql injection!
.

Kumbe ndo wewe!!!!!!!....... Sibiri nimwambie mjomba Zoka akuwinde na kikundi chake cha MABWEPANDE WORK SYSTEM..........
 
Tatizo mambo ya IT watu mnachukulia poa,unakuta mtu eti ni IT personnel background yake alichosoma utacheka.So hii mi naona ni challenge na kama vipi watangaze kazi za "IT security officers".Watu wakisha ajiliwa wanarelax,there is a cyber war going on.Vulnerability test zero,port scanning kushine,IPS,IDS hawazijui,Access control list,ndiyo nini hizi?,password zao ni defaul pswd.Wengi wanadhani antivirus ndiyo kila kitu,poor IT.When it comes to security,trust no one even yourself.

Watu wengi wa IT maofisini kazi yao ni kuweka anti-virus tu na ukiwapelekea PC yako swali la kwanza anakuuliza PC yako inatumia window ipi ili akishindwa akuambie unajua window unayotumia si nzuri ili tatizo liondoke itabidi tui-format computer na tuweke window nyingine (lakini ukiipeleka kwa mwingine unakuta tatizo anali-solve
 
Kumbe ndo wewe!!!!!!!....... Sibiri nimwambie mjomba Zoka akuwinde na kikundi chake cha MABWEPANDE WORK SYSTEM..........
ha! ha! ha! ... mkuu Alfred Daud Pigangoma siyo mimi! ..

Ni kwamba najua tu hizo tech na aina wanazozitumia! ... na najua namna ya ku-protect systems zisiwe hacked! ... ndio maana nikasema kufanya hiyo issue ni rahisi na wala sio ngumu kama watu wanavyofikiria ... hata wewe ukipata tools sahihi unaweza ukafanya within 2 minutes!

Sasa ukiangalia hawa walio-hack ya moha.go.tz na wale wa jana waliohack ya wizara ya afya .. mbinu wanazotumia bado ni za hali ya chini / kitoto ...

==
Ila tu kwa taarifa yako alie-hack ya MOHA ni huyu hapa chini

Contact zake hizi hapa:

x45d@hotmail.com
nna@hacker.ps &
a9h@live.com


Ila wanachotakiwa kufanya hawa MOHA (Mambo ya ndani) ... ni rahisi sana tu! ... nimeona wanatumia Joomla 1.5 ... watafute Firewall nzuri ... ambayo itakuwa inafanya autolock web kuzuia hizo Sql injections ambazo hawa jamaa wametumia ... na hiyo inaweza kufanyika ndani ya dakika 5 na wala hawatapata matatizo ya kuwa hacked hata siku moja tena! ...
.
 
Sasa Mpwa vijana wamesoma IT wana degree na masetificate halafu kazi huwapi, unafikiri wafanyeje? Nakumbuka siku mopja nilikua nataka nguo ya Krismas na Mzee kagoma kuninunulia nilichokifanya na mimi nikakitia maji Kiko chake, so haya ndio matokeo
nyie vijana mnaojifunza hacking mnasumbua sana.i wl expose you one after another in a matter of minutes.kaeni chonjo
 
Back
Top Bottom