Website ya Mwananchi ina virus

Masanilo

Platinum Member
Oct 2, 2007
22,286
4,493
Reported Attack Site!


This web site at www.mwananchi.co.tz has been reported as an attack site and has been blocked based on your security preferences.


Attack sites try to install programs that steal private information, use your computer to attack others, or damage your system.

Some attack sites intentionally distribute harmful software, but many are compromised without the knowledge or permission of their owners.

attachment.php


NB

Kama kuna mwenye mawasiliano nao awaafikishie ujumbe

Masa
 
NB

Kama kuna mwenye mawasiliano nao awaafikishie ujumbe

Masa
Shukrani kwa kutoa taarifa. Nimeongea na webmaster wa Mwananchi na anashughulikia.

Nimempa namna ya kufanya, sidhani kama itamchukua zaidi ya 1hr kumaliza tatizo hilo. Labda kama haelewi nini afanye.

Kwa wanaotumia Internet Explorer basi virus inaingia kwenye pc zao bila wao kujua! Ni vema mtu asiitembelee.
 
Shukrani kwa kutoa taarifa. Nimeongea na webmaster wa Mwananchi na anashughulikia.

Nimempa namna ya kufanya, sidhani kama itamchukua zaidi ya 1hr kumaliza tatizo hilo. Labda kama haelewi nini afanye.

Kwa wanaotumia Internet Explorer basi virus inaingia kwenye pc zao bila wao kujua! Ni vema mtu asiitembelee.


Great Maxence

Umesahau kunipa thanks pale juu!
 
Great Maxence

Umesahau kunipa thanks pale juu!
Hahaha, unapenda sana eh? Hata hivyo tume-edit 1st post yako na kuweka image ili iwe rahisi hata wale wasiopenda kujisajili wapate ujumbe maana attachment hawataiona :)
 
Great Maxence

Umesahau kunipa thanks pale juu!


Umenifurahisha sana Masanilo,naona unamkumbusha kila mtu akupe thanks,nimeshakupa mkuu,nami pia nilifungua asbh ikaniletea msg ya ajabu nikaachana nayo. Thanks again Masanilo.
 
Wakati wenzake tunamalizia siku mwenzetu ndio anaamka na breaking news ya kiporo cha Masa. Mwambie aitafute halafu akumwagie thanks kadhaa.

Chriss

Watu wa hivi ni wanyimi sana wa thanks ila kwa matusi ni balaaa.....
 
Ingependeza GM7 kama ungegonga kitufe cha Thanks!

Mkuu leo umekomalia hicho kitufe kweli kweli. Nadhani kuna washikaji huwa hawajui maana au hawajali umuhimu wake. Binafsi ni miongoni mwa vitufe ninavyovipenda sana! :rolleyes:
 
Mkuu leo umekomalia hicho kitufe kweli kweli. Nadhani kuna washikaji huwa hawajui maana au hawajali umuhimu wake. Binafsi ni miongoni mwa vitufe ninavyovipenda sana! :rolleyes:

Kamanda

Nimewaomba MoDs watuwekee kitufe kingine mtu akichemka apate hicho naona wamenichunia. Nadhani mkuu umekikumbuka hahahahaahah
 
Wakati wenzake tunamalizia siku mwenzetu ndio anaamka na breaking news ya kiporo cha Masa. Mwambie aitafute halafu akumwagie thanks kadhaa.

Mkuu unapopata breaking news sidhani kama mwanzisha thread ana-scroll kutizama kama ilishapostiwa. Kwa mfano hii ya virus warning ni kutundika tu mara moja. Mods najua huwa wanaunganisha baadaye just incase zikigongana. Sasa mwenzetu kaamka asubuhi na kuona tatizo na kulileta hapa mara moja jambo ambalo jema na anahitaji credit tu. Ni mawazo yangu.
 
Kwa tunaopenda kutembelea tovuti ya Mwananchi kuna hii news, kama wahusika wa site hiyo huwa wanapitia JF naomba warekebishe mambo.

Nimekutana na kitu hiki nilipotaka kusoma habari:

Warning: Visiting this site may harm your computer!
The website at www.mwananchi.co.tz appears to host malware – software that can hurt your computer or otherwise operate without your consent. Just visiting a site that hosts malware can infect your computer.

For detailed information about the problems with this site, visit the Google Safe Browsing diagnostic page for www.mwananchi.co.tz.
Learn more about how to protect yourself from harmful software online.
I understand that visiting this site may harm my computer.

Mods: Samahani nimeiweka hapa makusudi kwa kuwa ni jukwaa ambalo lina wateja wengi na may be wahusika wanaweza kuona kwa urahisi ili washughulikie tatizo.

Vinginevyo, inaweza kuondolewa na kupelekwa popote panapohusika.
 
Back
Top Bottom