Website ya law school imebakwa?

mchakachuaji

Member
Aug 12, 2010
58
7
Ni karibia wiki sasa ukifungua webiste ya Law school of Tanzania unakuta imebakwa (hacked) na maharamia wa mitandao. je wanalitambua hilo na wanajua la kufanya?. USIKUTE NI LAANA YA WANAOGRAGUATE LAW SCHOOL AMBAO wamekuwa wakionewa na kuharibiwa maisha yao kwa kupunjwa maksi; eti toka ianzishwe wanafanya mitihani wanafunzi 300kila intake lakini wanaofaulu hwajawahi kuzidi 35? there's something wrong with the teachers and the whole system! watch out!
 
Back
Top Bottom