Website ya IKULU na miradi ya COMPUTER ya Serikali

Wananchi wa Tanzania,

Ni tatizo sana kwa wanasiasa kuwakumbatia watu walewale wasio na mawazo mmbadala, unajua unapoleta damu mpya mawazo nayo huongezeka. Serikali ya Tanzania haina wataalamu au wapo lakini hawapewi nafasi ktk nyanja ya "E", unategemea nini kama huko juu wamejaa wazee ambao wanaamini kuwa kutumia computa ni kazi ya secretari?, mzee toka amalize degree yake makerere hajawahi hata kushika keyboard, halafu unataka atoe decision ya kutumia hela nyingi za serikali kuweka vitu Electronically!!!! lazima ataona ni NONSENSE!!!

Jiulizeni kwanini Tanzania Telecom inafanya biashara ya internet sasa hivi badala ya miaka kama kumi na tatu iliyopita!!! sababu ni wazee kung'ang'ania madaraka na kushindwa kwenda na muda!! wazee wa Kitanzania waliopo nje wangepewa nafasi hali ingebadilika, hawa waliopo nchini wengi wao wapo OUTDATED. Hata huduma yenyewe ya Internet bado TTCL haiwezi kuitoa vizuri, customer service yao ni mbovu kupindukia, down time yao ina extend mpaka mtu unachukia.

Samahani nimetoa mfano wa TTCL ili muelewe picha nzima ya uongozi bongo!!

JK amezungukwa na wababaishaji!

FD
 
Fikiraduni,

Hapana. JK hajazungukwa na wababaishaji bali amezungukwa na "wanamtandao" ambao wanaona kuwa sasa wamepata uhuru wa kweli (rushwa, kujuana, ukoo fulani n.k.). Nadhani JK bado amekanyaga "accelerator" wakati hajaingiza "gear". Siku hizi JK ameacha ule usemi wake feki Kasi, Nguvu sijui nia mpya.
 
Jafar,

Hao mtandao ndio wanaokataza kuwa na updated website?, hao ndio wanaomuandikia speeches zake zilizojaa maneno ya mtaani?, of course ya mtaani yawepo na ya watu makini nayo yawepo. Mbona JKN alikuwa anabalance hivyo vitu?!?

FD
 
KWA NINI ZIWE SELECTED
WAWEKE KILA KITU ONLINE

mimi hili linaniudhi kiasi hata sijui nisemeje na akija London nitampasha kuwa kazungukwa na watu ambao hawampi ukweli

Rais huyu ni kijana na alitakiwa jue kinachoendelea lakini kazungukwa na wafanyakazi wengi pale ikulu na wengi wao ni wazugaji tuuu nadhani Its time wakadownsize waliofikia muda wao wa kustaafishwa wastaafishwe waliobadi ieleweke kazi zao ni nini na iwe performance led

Ikulu imejaaa chaka la wazugaji

hivi kusort out website ya IKULU ni kazi kubwa sana? Yaaani hata MWANAKIJIJI anayowebsite sasa iweje IKULU DAR WAKAWA HAWANA WEBSITE?

Kwa nini website ya BUNGE itengenezwe na MJERUMANI?

Hawa jamaa are jokers
 
KWA NINI ZIWE SELECTED
WAWEKE KILA KITU ONLINE

mimi hili linaniudhi kiasi hata sijui nisemeje na akija London nitampasha kuwa kazungukwa na watu ambao hawampi ukweli

Rais huyu ni kijana na alitakiwa jue kinachoendelea lakini kazungukwa na wafanyakazi wengi pale ikulu na wengi wao ni wazugaji tuuu nadhani Its time wakadownsize waliofikia muda wao wa kustaafishwa wastaafishwe waliobadi ieleweke kazi zao ni nini na iwe performance led

Ikulu imejaaa chaka la wazugaji

hivi kusort out website ya IKULU ni kazi kubwa sana? Yaaani hata MWANAKIJIJI anayowebsite sasa iweje IKULU DAR WAKAWA HAWANA WEBSITE?

Kwa nini website ya BUNGE itengenezwe na MJERUMANI?

Hawa jamaa are jokers

DrWHO,
It'd be more wise if you'd keep on shelling the whitehouse with your heavy e-ballistic missiles than confront him with questions that'll make him a laughing stock - especially if a lot of beautriful girls would be in attendence. HAKI YA MUNGU ATA KU MIND
 
kwa nini eeeh?
hebu niweke wazi kidogo katika hili

unajua yeye andie anayetaka mawazo mapya na najua nikisayasema haya naamni hawatoniruhusu katika mkutano mwingine na JK

Tunatia aibu

Nilitegemea tungeweza kupata PODCAST yake toka SERENGETI lakini wapi bwana .Waliomzunuka JK hilo hawalitaki wao wanataka kumweka gizani tuuu

Hao beautiful girls wenyewe nasikia wanaongozwa na MEKI wa LEICESTER

ati kweli?
 
Kama mnavyojua nimekuwa nikipiga makelele kuhusu website ya Ikulu na timu nzima ya Muungwana ya Communication

naona kashawachoka akina Kalghe na ameamua kuendorse hii website kuwa ni official kama ambayyo ilivyoandikwa hapo kwenye front page



http://ikulu.go.tz


Jamani this is embarassing kwa Taifa na kwa Rais
 
Ha ha I just made a comment about this today kwenye thread nyingine....
Na anayerun hii website ni mtu binafsi
 
This is the most corrupt Leadership Tanzania has ever seen. Hivi hava viongozi wetu wanafikiria.

Tangia lini watu binafsi wakaruhusuiwa kutumia alama za Taifa kama Ngao. CHADEMA walipotumia hizi alama Serikali ilikuja juu, lakini mtu binafsi na wa chama mambo fresh tu.
 
Jamani tusifanye haraka kuhukumu, tuwape nafasi Ikulu watupe taarifa kama hii ni website ya rais mwenyewe au kuna jamaa anatafuta ujiko kwa kujipendekeza kwa mkuu ili naye aonekane. Maura Mwingira na Kalaghe twataka majibu; hii ni website ya Bwana mkubwa au kuna mkono wa mtu? Na kama si ya Bwana mkubwa binafsi baraka za kuanzisha hii websaite zimetoka wapi? Twaomba majibu tafadhali.
 
Nionavyo mimi website ya Rais J.Kikwete ni kama hiii ifuatayo hapa chini.Kama mna malamiko yoyote mnaweza kupeleke malalamiko yenu katika email hapo chini au fax pia
Ile website nyingine imecukuwa Icon kama za website hii, lakini kuna tafauti. Ingieni katika website zote mbili na mtaona tafauti yake.


http://www.estabs.go.tz/index.php

The President's Office
Public Service Management
P. O. Box 2483
Dar es Salaam
TANZANIA .
Phones/Fax :
General Lines: +255 22 118331
+255 22 118332
+255 22 118333
+255 22 118334
Telex: 41927 utumishi tz
Fax : +255 22 131365
E- mail:
permsec@estabs.go.tz

Nilijaribu kupeleke email katika hiyo website Jakaya Kikete.com na majibu yake ni haya hapa..



JakayaKikwete.com

» Home » Thanks Thanks
Thank you for contacting us. We will respond to your question/comment as soon as possible.
 
Mimi napata hisia kuwa hawa jamaa wanataka JK awe na website yake binafsi lakini kuwa na elements za kumuonyesha kuwa yeye ni rais; nadhani ndio maana ya kuwepo kwa hiyo ngao na alama za ikulu.

Ila nashindwa kuelewa kwa nini tena wana website nyingine ya ikulu na link yake ipo humo humo kwenye hiyo website ya JK..??

Hayo ni makosa na ulimbukeni wa wanasiasa wetu na hao vijana wa Hotscom ambao ndio watengenezaji wa hii website. Lakini namesikia ni vijana wadogo hivyo hata elimu ya haya hawana.

Wanabodi IT ni industry mpya kabisa Tanzania. Watanzania wengi bado wanadhani IT ni kuwa na website...wengi wangependa kuwa na website bila kujua nini kiwemo kwenye hiyo website. Haya ndio matatizo yake na bado mengi yatatokea hapa ni mwanzo sana.

DrWHO, tafadhali usichoke itachukua muda lakini wataelewa taratibu.
 
wana bodi

naomba mnipe majina ya communications team ya mheshimiwa rais mimi ninasikia KALAGHE tuuu lakini naamini hayuko pekeyake
 
Nionavyo mimi website ya Rais J.Kikwete ni kama hiii ifuatayo hapa chini.Kama mna malamiko yoyote mnaweza kupeleke malalamiko yenu katika email hapo chini au fax pia
Ile website nyingine imecukuwa Icon kama za website hii, lakini kuna tafauti. Ingieni katika website zote mbili na mtaona tafauti yake.


http://www.estabs.go.tz/index.php

The President's Office
Public Service Management
P. O. Box 2483
Dar es Salaam
TANZANIA .
Phones/Fax :
General Lines: +255 22 118331
+255 22 118332
+255 22 118333
+255 22 118334
Telex: 41927 utumishi tz
Fax : +255 22 131365
E- mail:
permsec@estabs.go.tz

Nilijaribu kupeleke email katika hiyo website Jakaya Kikete.com na majibu yake ni haya hapa..



JakayaKikwete.com

» Home » Thanks Thanks
Thank you for contacting us. We will respond to your question/comment as soon as possible.

Hiyo website ya juu sio ni ya ofisi ya rais(Utumishi)? lakini unajua the funny thing kwenye hii jakayakikwete.com kuna hii welcome note inayosema
" Welcome to our new Presidential website. "
Jakaya M. Kikwete

Kwa hiyo ina maana muungwana ameithibitisha unless hawa watoto wameamua kuweka haya mambo wenyewe matter of fact kuna picha nilishaziona Muungwana aliwaalika Ikulu na wakati wa kampeni aliwatembelea ofisini kwao.
 
Back
Top Bottom