Mshiiri
JF-Expert Member
- Jun 16, 2008
- 2,012
- 507
Ni kitu cha kushangaza sana ikiwa webmaster wa UDSM ICT ndiye webmaster wa HESLB na ame-upload contents za UDSM ICT kwenye HESLB. What a shame?!!!! Ukifungua http://heslb.go.tz unapata contents za UDSM ICT.
Kazi kama hamuiwezi bora muache. Hii katika habari ni sawa na kupasua ubongo kwa mgonjwa wa jipu mguuni. Anyhow it is very interesting and surprising likewise. WAKE UP!!
Kazi kama hamuiwezi bora muache. Hii katika habari ni sawa na kupasua ubongo kwa mgonjwa wa jipu mguuni. Anyhow it is very interesting and surprising likewise. WAKE UP!!