Tumsifu Samwel
JF-Expert Member
- Jul 30, 2007
- 1,407
- 159
- Thread starter
- #21
Ndugu Ckabula, ni waandikia barua ubalozi wa tanzania washongton na kopi yake ilikwenda wizara ya mambo ya nje,Mpaka leo hakuna marekebisho yoyote waliyo fanya. Nadhani mimi ndiye niko wrong ina wezekana wanaona sawa na data zao walizo ziweka kwenye li website lao ambalo wametengenezewa na muhindi.Nafikiri hayo maoni yako mwandiswhi ungeyapeleka kwa Waziri wa Mambo ya Nje pengine angeliona hilo na kulifanyia kazi kwa Web site zote za Balozi zetu Nje nia kujenga sio kuponda. ila kwa kuwa uliwaandikia wahusika wenyewe ndio maana hakuona umuhimu wa kurekebisha.