Mtazamaji
JF-Expert Member
- Feb 29, 2008
- 5,938
- 1,437
Tovuti kadhaa za taasisi kubwa kubwa na blog chache zinazopendwa hapa bongo zinatumia Joomla! toleo la 1.5 . .
Sasa toelo hii a jooomla! lilikuwa likisappotiwa kwa muda mrefu matatizzo ya kiusalama (security) na mengineyo kwa kupatiwa suluisho na wataaam wa joomla wenyewe, lakini ifikapo April 2012 Maprogramer wa joomla watasitisha kabisa kutoa support ya matatizo ya toleo hili.
Hivi sasa toka january 2012 Joomla wametoa Toelo lingine la joomla! 2.5 ambalo itakuwa na supporot ya muda mrefu( Takriban miezi 18). Hapa katika katikati kumekuwepo matoeo mengne kama1.6 na 1.7 lakini haya yote hayakuwa (Long term Release)
Kwa mujibu wa tovuti ramsi ya joomla migration/upgrae kutoka 1.5 wenda 2.5 haina usumbufu.
Kuna nini kipya zaidi ndaniya toeo la joomla 2.5?
zaidi ya mabresho ya kiusalama (security) na utumiaji(usability) Toleo hii jipya litaweza zaidi ya kufanya kazi kwenye MYSQL ilitaweza kufanya kazi kwenye databae engine za MSQserver PostgreSQL ana Oracle . Mengineyo soma hapa
Walengwa wa hili toleo ya LTR ni kina nani ?
walegwa hi LRT version ni taasisi kubwa kubwa(Na zenye data critical kwenye database za joomla ) ambazo kwao ni usumbufu kufanya upgrae kila baada ya miezi mitatu au sita.
Kazi kwenu webmastser na wanaotoa huduma kusimamia tovuti hizo
Sasa toelo hii a jooomla! lilikuwa likisappotiwa kwa muda mrefu matatizzo ya kiusalama (security) na mengineyo kwa kupatiwa suluisho na wataaam wa joomla wenyewe, lakini ifikapo April 2012 Maprogramer wa joomla watasitisha kabisa kutoa support ya matatizo ya toleo hili.
Hivi sasa toka january 2012 Joomla wametoa Toelo lingine la joomla! 2.5 ambalo itakuwa na supporot ya muda mrefu( Takriban miezi 18). Hapa katika katikati kumekuwepo matoeo mengne kama1.6 na 1.7 lakini haya yote hayakuwa (Long term Release)
Kwa mujibu wa tovuti ramsi ya joomla migration/upgrae kutoka 1.5 wenda 2.5 haina usumbufu.
Kuna nini kipya zaidi ndaniya toeo la joomla 2.5?
zaidi ya mabresho ya kiusalama (security) na utumiaji(usability) Toleo hii jipya litaweza zaidi ya kufanya kazi kwenye MYSQL ilitaweza kufanya kazi kwenye databae engine za MSQserver PostgreSQL ana Oracle . Mengineyo soma hapa
Walengwa wa hili toleo ya LTR ni kina nani ?
walegwa hi LRT version ni taasisi kubwa kubwa(Na zenye data critical kwenye database za joomla ) ambazo kwao ni usumbufu kufanya upgrae kila baada ya miezi mitatu au sita.
Kazi kwenu webmastser na wanaotoa huduma kusimamia tovuti hizo