The Tan-talizer
Senior Member
- Mar 28, 2012
- 155
- 50
Jamani kwa wale ndugu zangu wataalamu na wazoefu wa hizi mambo naomba mpitie hapa mnishauri kuhusiana na blog yangu NOLNIZ nyie mnaona kipi kiongezwe au kipunguzwe ili nayo iwe katika level flanizaidi na zaidi??? Nayumai tutasaidiana katika hili kwani nlishapost mara ya kwanza nikapata feedback nimejitahidi hakuna nlichobakiza nimewasilisha tena, Natanguliza shukrani:bolt: