Gonza waweza towa sababu kwa nini opera ni bora kuliko hizo zengine?Nimetumia Internet Explorer, Mozilla, Opera na Rockmelt. Mpaka sasa naona bora Opera lakini zingine zaidi sijatumie. Kama kuna mwingine ametumia zingine naomba maoni yako, web browser ipi bora kuliko zote?
Pole mkubwa, web browser nyingi siku hizi zina matatizo. Lakini pia inategemeana na computer unayotumia. Mimi natumia Mac Book Pro na mwanzoni safari ilikuwa inafanya kazi vizuri lakini ikanigomea siku ya online interview nikaipoteza hiyo nafasi toka hapo natumia Google Chrome. Kuna rafiki yangu ana PC ya toshiba anasema angalau Google Chrome ina unafuu. Ni muhimu pia ku 'update' mara kwa mara. Natumaini wadau wengine wanaweza kukupa ushauri unaotofautiana na wangu hasa kutokana na uzoefu wa kutumia. Good Luck ndugu yanguNimetumia Internet Explorer, Mozilla, Opera na Rockmelt. Mpaka sasa naona bora Opera lakini zingine zaidi sijatumie. Kama kuna mwingine ametumia zingine naomba maoni yako, web browser ipi bora kuliko zote?
hahahahaha, hii kali!zjaribu kuzitumia zote kwa pa1 labda zikiungana zitakua na nguvu
Google Chrome mambo yote
zjaribu kuzitumia zote kwa pa1 labda zikiungana zitakua na nguvu
Google Chrome mambo yote
mozila ckuhiz corrupted, others headache, ease your world of browsing..google chrome mambo bien, ; pamoujah oa
Google Crome ni nzuri sana, faida zake
Ipi ambayo haizuii. Hii nahaika ni setting tu
- inazuia background downloads ambazo huzaziruhusu-
Labda uwe unatumia chrome bila utumia internet
- mtu si rahisi hackers sio rahisi kufuatilia nini unafanya-
Kwa maelezo yako kuhusu hackers basi kama inatunza kumbuumbu hizo ndio hackers zinawasaidia na kurahisiha kazi yao. Hata Hivyo Hii ni setting hata browser nyingine inawezekana
- inatunza kumbukumbu uki-iruhusu mfano kama unatabia ya kujaza jaza fomu mitandaoni next time ukianza na herusi tu inakuandikia unachotaka
Hii hata kwenye firefox ipo
- ukiwa nayo huna haja ya kutumia google kusearch unatype pale juu tu then inakupa matokeo
Google Chrome na Safari zinatumia injini moja, WebKit. Na FF na watoto wake wanatumia Gecko. Juu yake utakuta features na optimization. Sina uhakika Opera wanatumia injini ipi. Ni vema kujua architecture/underlying engine kuhukumu ipi ni bora!Pole mkubwa, web browser nyingi siku hizi zina matatizo. Lakini pia inategemeana na computer unayotumia. Mimi natumia Mac Book Pro na mwanzoni safari ilikuwa inafanya kazi vizuri lakini ikanigomea siku ya online interview nikaipoteza hiyo nafasi toka hapo natumia Google Chrome. Kuna rafiki yangu ana PC ya toshiba anasema angalau Google Chrome ina unafuu. Ni muhimu pia ku 'update' mara kwa mara. Natumaini wadau wengine wanaweza kukupa ushauri unaotofautiana na wangu hasa kutokana na uzoefu wa kutumia. Good Luck ndugu yangu
Tena aziunge kwa gundi ya mbao, akitumia supa gluu zitakakamaa na kushindwa kufanya kazi vizuri