mi kwa maoni yangu nadhani umaskini tulionao tanzania licha ya mambo mengine ila umesababishwa sna na siasa za ujamaa za mwlm JK nyerere.maoni yko yakoje?
Sikubaliani na wewe, tangu tuliache Azimio la Arusha na mfumo wa ujamaa uliyokuwa
ndoto ya mwalimu. Hatuna maendeleo makubwa sana ya kiuchumi. Tena sasa tuko katika mfumo
wa kibepari japo hatukiri. Tumeshaanza kutawaliwa upya na mataifa makubwa - tunawaalika wawekezaji kila kukicha ambao wanajikita katika nyanja mbalimbali!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.