Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,791
mh...
..mh..hapa kuna kitu
kwani jinsia yako hawezi kukufanya..?
wewe........unataka twende....? chenchi ninayo bado....
mh...
..mh..hapa kuna kitu
kwani jinsia yako hawezi kukufanya..?
ina maana preta angekuwa jinsia tofauti na wewe mnge duuu eeeh?hadi rahahatukuduu....alikuwa jinsia yangu....
ina maana preta angekuwa jinsia tofauti na wewe mnge duuu eeeh?hadi raha
wewe........unataka twende....? chenchi ninayo bado....
kwenda wapi...
chenchi ninayo bado...​nini hikoo
Za mahangaiko ya week ndugu zangu.. Kuna ujumbe nimepata katika email yangu nimeandikiwa na mdada nisie mjua na ye hanijui anasema kwamba YEYE NI MKENYA MTOTO WA WAZIRI WA BARABARA SASA BABA AKE AMEFARIKI KWA AJALI MDA UMEPITA KIDOGO SASA ANACHOTAKA NI MIMI NIMPE ACCOUNT NAMBA YANGU ATUME FEDHA AMBAZO BABA AKE AMEZIACHA KATIKA BANK MOJA IPO HUKO BURKINA FASO NA YE YUPO HUKO ANADAI MUNGU KAMWONYESHA KWAMBA MIMI NI MTU MWAMINIFU PIA ANASEMA HAWEZI KUTUMA KWA NDUGU ZAKE KWASABABU WALISHAANZA KUGOMBANIA MALI ZAKE NA WAMESHAMNYANG'ANYA MALI KABAKIWA NA HIZO FEDHA TU... NA SIO HIYO TU NINA NYINGINE KUTOKA BBC WANASEMA WALIKUA WANASHINDANO FULANI LINAITWA BBC LOTTERY (kama sijakosea) NAO WANASEMA NIMESHINDA WALIKUA WANASHINDANISHA EMAIL..sasa ndugu zangu nyie yamewahi kuwatokea haya?
Za mahangaiko ya week ndugu zangu.. Kuna ujumbe nimepata katika email yangu nimeandikiwa na mdada nisie mjua na ye hanijui anasema kwamba YEYE NI MKENYA MTOTO WA WAZIRI WA BARABARA SASA BABA AKE AMEFARIKI KWA AJALI MDA UMEPITA KIDOGO SASA ANACHOTAKA NI MIMI NIMPE ACCOUNT NAMBA YANGU ATUME FEDHA AMBAZO BABA AKE AMEZIACHA KATIKA BANK MOJA IPO HUKO BURKINA FASO NA YE YUPO HUKO ANADAI MUNGU KAMWONYESHA KWAMBA MIMI NI MTU MWAMINIFU PIA ANASEMA HAWEZI KUTUMA KWA NDUGU ZAKE KWASABABU WALISHAANZA KUGOMBANIA MALI ZAKE NA WAMESHAMNYANG'ANYA MALI KABAKIWA NA HIZO FEDHA TU... NA SIO HIYO TU NINA NYINGINE KUTOKA BBC WANASEMA WALIKUA WANASHINDANO FULANI LINAITWA BBC LOTTERY (kama sijakosea) NAO WANASEMA NIMESHINDA WALIKUA WANASHINDANISHA EMAIL..sasa ndugu zangu nyie yamewahi kuwatokea haya?