Eversmilin Gal
JF-Expert Member
- Feb 5, 2012
- 778
- 269
ni vizuri kufahamu ukweli ila ukweli unauma siku zote mi naona heri ndanganywe napendwa ,nathaminiwa lakini nicufahamu ukweli je wewe unapenda nini,kufahamu ukweli au kuongopewa ukiamini ndivyo
ni vizuri kufahamu ukweli ila ukweli unauma siku zote mi naona heri ndanganywe napendwa ,nathaminiwa lakini nicufahamu ukweli je wewe unapenda nini,kufahamu ukweli au kuongopewa ukiamini ndivyo
ni vizuri kufahamu ukweli ila ukweli unauma siku zote mi naona heri ndanganywe napendwa ,nathaminiwa lakini nicufahamu ukweli je wewe unapenda nini,kufahamu ukweli au kuongopewa ukiamini ndivyo
umeonaee@petcash 100%unakuwa real acha uongo wewe@power
Uongo ukiaminiwa unaleta faraja kwa wote wawili. Anaedanganya anafurahi kuona kamba zake zimekubaliwa, na anaedanganywa anaridhika kwa kuamini kuwa aidha ndio ukweli au ni uongo lakini hana njia ya kuthibitisha. Anabaki kuhisi labda ndo ukweli.
Namna hiyo amani inakuwepo, maisha yanasonga mbele. Ukweli ktk mapenzi uko wa aina mbili. Ukweli unaopendeza na ukweli unaoumiza. ukweli unaoumiza haufai. Bora mtu akudanganye ili usiumie. Ktk maisha ya mapenzi hakuna mtu anaekuwa mkweli 100% kila siku.
Kupenda ni bora kuliko kupendwa :madgrin:Mi najua kupenda tu, sina muda wa kutaka kupendwa
bora kujua ukweli kuliko kudanganywani vizuri kufahamu ukweli ila ukweli unauma siku zote mi naona heri ndanganywe napendwa ,nathaminiwa lakini nicufahamu ukweli je wewe unapenda nini,kufahamu ukweli au kuongopewa ukiamini ndivyo
ni vizuri kufahamu ukweli ila ukweli unauma siku zote mi naona heri ndanganywe napendwa ,nathaminiwa lakini nicufahamu ukweli je wewe unapenda nini,kufahamu ukweli au kuongopewa ukiamini ndivyo
ni vizuri kufahamu ukweli ila ukweli unauma siku zote mi naona heri ndanganywe napendwa ,nathaminiwa lakini nicufahamu ukweli je wewe unapenda nini,kufahamu ukweli au kuongopewa ukiamini ndivyo