Wako bungeni kufurahisha watu, wao na ze comedy hawana tofauti. kila jambo lazima na wao wabishane. pumbafu wote.Tatizo lako hutaki kufikiri by the way CDM wapo bungeni wanaibua hoja nzito likiwemo suala la umeme!!11
Wako bungeni kufurahisha watu, wao na ze comedy hawana tofauti. kila jambo lazima na wao wabishane. pumbafu wote.Tatizo lako hutaki kufikiri by the way CDM wapo bungeni wanaibua hoja nzito likiwemo suala la umeme!!11
Watanzania sisi ni watu wa ajabu sana, yaani mgawo 18 hrs per day, bado watu wapo relaxed. Bado watu hao hao wanasimama kutuambia eti wanatekeleza ahadi walizotoa wakati ka uchaguzi kwa awamu.Tufike mahala tusema tunataka umeme na tumechoka na siasa za ajabu ajabu. Sasa hivi watu wote tutakimbilia IGUNGA na kusahau kabisa hili giza tulilonalo mpaka matokeo yatakapotangazwa.Kama watu wameshindwa kutatua umeme kwa miaka zaidi ya 4 msitegemee chochote ndani ya siku 21 ndugu zangu -
Sio kuleta mawazo tu hebu wapeni hiyo Wizara muone mawazo Mbadala.Walete mawazo mbadala ya kutatua tatizo la umeme na kuondokana na mgao wa giza!!!
majasho nakufahamu wewe ni gamba la kobe lililokakamaa, unafanya nini huko kwa nape wakati wewe mwenyewe unaitegemea chadema ikukomboe?