i'm proud kuwa namba one bhana we kama si number 1 basi usivae ndala
hapo number 3 huwa wanavaa ndala halafu vidole vinagusa chini
na mi navyojua ni vidole vya mikono.....naona umemaliza ban
sio namba mbili wana zenye vichwa vipana kuliko mikia.basi namba 1 ndo watakuwa wanazo za ukweli
Mkuu hivi ni kweli hao wenye namba 1 wengi huvaa viatu vya saizi namba 10 na kuendelea?Mi namba 1
Mi namba 1