bht
JF-Expert Member
- May 14, 2009
- 10,336
- 1,860
mbu sisi watu wa mwambao pale tunapata maana nyengine kabisa amabyo haihusiani na chakula hichi cha kawaida....
suali kwa mama: hivi hukufundishwa namna ya mapishi tofauti huko kwenu mpaka usubiri mume akufundishe?
inaonyesha mume kachoka kusubiri ufundi nyumbani kajiamulia kuufata nje ....biriani, pilau, samaki wa kupaka, bata wa kuchoma, ......hehehe
kazi kweli kweli
Lakini yeye mume kapewa pande lake, kila siku ndizi choma haina hata chachandu.....kwa hiyo si bibie tu alokuwa monotonous hata huyo baba mwenyewe alishiwa maufundi lol!!