Jamani kuna picha ya dada mmoja aliwangurumishia majambazi waliouwawa hivi majuzi;hakika roho imenidunda gafla kwanza kuona mtoto mwenyewe na jinsi alivyopendeza;jamani embu mtafutieni kazi za ofisini walahi kova ningekuwa bosi wake huyu angekuwa secretary wangu ;hata kama shule ajaenda msomesheni hiki kichwa...loh kova mkono mbona uachii mzee
dada hongera kwa shuguli pevu;angalia waliokuchungulia kama mie wasikusumbue,mi nataka ufanikiwe kazini;mtutu sio kabisa na wewe dada
Lazima unatania siamini kama kuna mtu wa karne hii anayedhania kuwa ukarani muhtasi ndiyo kazi pekee ambayo binti zetu wanaweza kufanya. Kama Condoleeza( sp) Rice angekuwa ofisini kwako ungemfanya nini? Dada Migiro? Dr. Hawa Sinare? Dr. AK Tibaijuka?Na wengine wengi. Kuna makamanda wa kike wengi tu na wazuri wa sura na maumbo nadhani kama ulipitia JKT uliwaona baadhi yao.