mkerwaji
Member
- Feb 9, 2010
- 27
- 3
HELLO'
Naanza kwa sifa, awe na umri usiozidi miaka 30, awe na umbo la kawaida tu but usiwe mnene, pia usiwe na watoto ulikwisha kuzaa.sio mweupe sana ila awe natural....uwe na kazi yoyote tu ili mradi asubuhi wote tunakuwa busy......mi ni mkristo, kwa hiyo kama uko tayari kuslim kwenda kwenye ukristo itakuwa vizuri zaidi, lakini pia kama hutojali hata ukiwa muislam na uko tayari ndoa ya kiserikali na kila mmoja kubaki na dini yake hilo halina shida.....
mwanamke mwenye sifa hizo anaweza kuwa wangu na akishinda usaili atakuwa wangu na ndoa ya kiserikali itakayofuatia ndani ya miezi mitatu....
umri wangu miaka 34, sina mtoto, najiheshimu sana...naishi dodoma, tanzania.​
kwa wanawake walio serious tu, wanaweza kuanza kwa kunitext via 0714772095.then fro there tutajua jinsi ya kuendelea na kukutana kwa maongezi .
Naanza kwa sifa, awe na umri usiozidi miaka 30, awe na umbo la kawaida tu but usiwe mnene, pia usiwe na watoto ulikwisha kuzaa.sio mweupe sana ila awe natural....uwe na kazi yoyote tu ili mradi asubuhi wote tunakuwa busy......mi ni mkristo, kwa hiyo kama uko tayari kuslim kwenda kwenye ukristo itakuwa vizuri zaidi, lakini pia kama hutojali hata ukiwa muislam na uko tayari ndoa ya kiserikali na kila mmoja kubaki na dini yake hilo halina shida.....
mwanamke mwenye sifa hizo anaweza kuwa wangu na akishinda usaili atakuwa wangu na ndoa ya kiserikali itakayofuatia ndani ya miezi mitatu....
umri wangu miaka 34, sina mtoto, najiheshimu sana...naishi dodoma, tanzania.​
kwa wanawake walio serious tu, wanaweza kuanza kwa kunitext via 0714772095.then fro there tutajua jinsi ya kuendelea na kukutana kwa maongezi .