hahahahhhhaah huyu rahisi sana,mpenziwe amwandikishe namba moja mpaka kumi kwa kiuno kinguvu atajikuta anapenda kukatashosti naomba ukamuokoe mwanamke mwenzetu anatutia aibu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahhhhaah huyu rahisi sana,mpenziwe amwandikishe namba moja mpaka kumi kwa kiuno kinguvu atajikuta anapenda kukatashosti naomba ukamuokoe mwanamke mwenzetu anatutia aibu.
Wana-JF wenzangu. Nimepambana na maisha na kuyaweka sawa na sasa imefika wakati naona ni bora nitulizane na kuoa ili niendelee na chapter nyingine ya maisha. Kuna huyu binti nimempata na tuko pamoja kama miaka miwili na nusu sasa.
She's ok in so many ways kasoro ni kwamba linapokuja suala la ngono hatuko on the same page kabisaaaaaaa. Yaani ni gogo na mvivu 100% kwenye 6x6, na hajishuhulishi kabisaaaaaaa na chochote... ni ile style ya soma gazeti ukialimaliza litupe....kifo cha mende. ..nimejaribu kumweleza na kumfunza wapiii lakini anasema there's nothing she can do. Sasa nahofia kuja kuoa mke ambae tutakuwa hatuko sexually compartible.
Jee hii ndoa itadumu kweli? Madhara ya kutoridhishana kingono kati ya wapendanao ni yapi? Manake nimejitahidi ku-overlook lakini saa nyingine nakuwa tempted kukata kiu kwa makoloni ya zamani ambayo tunaivana kingono kitu ambacho sitokipendelea nikijaitwa mume wa mtu. Nataka nikioa nitulizane kama maji ya mtungi na sitaki nyumba ndogo. nimekwama. Nifanyeje? Nawasilisha
hahahahaha! Akishindwa namba aandike jina lake. Lol.amwandikishe namba moja mpaka kumi kwa kiuno kinguvu atajikuta anapenda kukata
Wana-JF wenzangu. Nimepambana na maisha na kuyaweka sawa na sasa imefika wakati naona ni bora nitulizane na kuoa ili niendelee na chapter nyingine ya maisha. Kuna huyu binti nimempata na tuko pamoja kama miaka miwili na nusu sasa.
She's ok in so many ways kasoro ni kwamba linapokuja suala la ngono hatuko on the same page kabisaaaaaaa. Yaani ni gogo na mvivu 100% kwenye 6x6, na hajishuhulishi kabisaaaaaaa na chochote... ni ile style ya soma gazeti ukialimaliza litupe....kifo cha mende. ..nimejaribu kumweleza na kumfunza wapiii lakini anasema there's nothing she can do. Sasa nahofia kuja kuoa mke ambae tutakuwa hatuko sexually compartible.
Jee hii ndoa itadumu kweli? Madhara ya kutoridhishana kingono kati ya wapendanao ni yapi? Manake nimejitahidi ku-overlook lakini saa nyingine nakuwa tempted kukata kiu kwa makoloni ya zamani ambayo tunaivana kingono kitu ambacho sitokipendelea nikijaitwa mume wa mtu. Nataka nikioa nitulizane kama maji ya mtungi na sitaki nyumba ndogo. nimekwama. Nifanyeje? Nawasilisha
majibu yapo kwenye thread yako mkuu...wewe unapenda kupiga mechi kama upo fainali ya kombe la dunia wakati mwenzio anawaza kwenda saluni...uamuzi ni wako.
uishi nae hivyo hivyo au utafute mpenda ngono kama wewe uoe.
ila kumbuka ndoa ni zaidi ya ngono mkuu
Asikudanganye mtu; nyumba ndogo hakufatwi mauno tu. Tuulize sisi...
Kina iwee ndio nani?zamani tulipokuwa tunabalehe tulikuwa tunaenda kwa kina iwee, pale.... Ndo walikuwa wanalala kam magogo, usilete ufundi kwenye mwili wa mwenzio... Pole kaka a umri gani? Nilipata msichana lakini yeye alikuwa anakatika isipokuwa alikuwa anachoka haraka nikaangukia kwenye mature pasture, mpaka leo napeta.. Maumivu yakizidi angalia pande za huko
Mlipie pesa kidogo aende kwa bi chau.. akirudi atakuwa amechangamka..
Ahsante sanaHiyo inatokana na nature. Hata usipomfundisha it will come naturally. Cha msingi wakati wa kufanya ngono usiwe na tendecy ya kutafuta raha bali kumpa raha mwenzako hilo ndilo linalopaswa kuwa lengo lako. Jitahidi kumpa raha mpenzi wako, akiweza kufika kileleni then ataanza taratibu kurespond kwa vitendo kwenye jitgada zako za kumpa utamu.matokeo ni utamu kwako pia.
She's ok in so many ways kasoro ni kwamba linapokuja suala la ngono hatuko on the same page kabisaaaaaaa. Yaani ni gogo na mvivu 100% kwenye 6x6, na hajishuhulishi kabisaaaaaaa na chochote... ni ile style ya soma gazeti ukialimaliza litupe....kifo cha mende. ..nimejaribu kumweleza na kumfunza wapiii lakini anasema there's nothing she can do. Sasa nahofia kuja kuoa mke ambae tutakuwa hatuko sexually compartible.
Vuvuzela... majority ya watu unaowaona wanacheat wana tatizo la compartibility ya mahusiano ya kimwili na wenzi wao, this is either kwenye mawasiliano, mihemuko yenyewe, namna ya ufanyaji au hata demand... wengine ni rahisi kuwa satisfied na wengine la.
Fanya iwezalo kuongea na kujaribu 'wildlife' la sivyo hautaishi kwenye ndoa yenye furaha ya tendo na mara nyingi ujue kabisa ni kwa wote wawili ila wenzetu huwa hawasemi kirahisi.... you will end up being to frustrated, contradicting, incompatible dudes ... na kama ni ndoa katoliki basi ujue imekula kwako