We acha tu.

Jaguar

JF-Expert Member
Mar 6, 2011
3,438
1,026
(1st Man);Yaani mimi mke wangu ananikera kweli,kila wakati anapiga story kuhusu mumewe wa zamani. (2nd Man):Afadhali ya mkeo,mimi mke wangu muda wote anamuongelea mume wake wa baadaye baada ya mimi kufa.
 
(1st Man);Yaani mimi mke wangu ananikera kweli,kila wakati anapiga story kuhusu mumewe wa zamani. (2nd Man):Afadhali ya mkeo,mimi mke wangu muda wote anamuongelea mume wake wa baadaye baada ya mimi kufa.

uuwiiiiiiiiiiiii!!
atajaniua huyo mmama,timua fasta!{wa pili}
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom