Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,770
- 59,109
Ni rahisi kweli watu kuwa nyuma ya computer na kumuattack /bash a.k.a kumponda mtu mwingine kwa muonekano wake hata kama mpondaji hamjui mhusika kwa sura kwasababu tu yeye haonekani. Yani anapata confidence ya bandia ambayo uraiani hana na kushambulia wale wasiomuona/wasiomfahamu.
Je. . .hawa watu wao sura na maumbo yao binafsi yanalipa kweli hata wawezeze kuwakashifu wengine? Wakijiangalia kwenye vioo wanajifurahia?Wanajipenda?Mitaani wanaangalika mara mbili au ndio hasira za kutokua na hayo yote wanashushia kwa wenzao?
Je. . .hawa watu wao sura na maumbo yao binafsi yanalipa kweli hata wawezeze kuwakashifu wengine? Wakijiangalia kwenye vioo wanajifurahia?Wanajipenda?Mitaani wanaangalika mara mbili au ndio hasira za kutokua na hayo yote wanashushia kwa wenzao?