MduduWashawasha
JF-Expert Member
- Mar 5, 2008
- 1,653
- 601
kuna sehem moja ya mwili wa dada zetu ambao hata wafanyeje itabakia katika rangi yake ya kiifarika..nyeusi tiiiiiiii--kitendawili ???nipeni mji
Ni kweli MM manake hata wanaume nao siku hizi wanaanza kupotea njia na kuwa kama hawa wanawake. Mwanaume sijui anajirembea nini?Anayetumia vipodozi vizuri huwezi kuwa na utata wa uzuri wake kwani vipodozi huuthibitisha tu.