Masikini I always say wanawake wengine wanaishi kwa kuendeshwa na matakwa ya wanaume (they live according to men's perspectives) Yaani wanaume wakihusudi viportable now wanajikondesha ili wawe viportable
- Wanaume wakitaka wanawake wenye coulored skin, ndo hivyo wanachubua skins zao
- Wanaume wakitaka wenye mawowowo na shape basi wachina wanafanya biashara yaani ah
Hebu wanaume badilisheni anzeni ku-go for blakies tuone kama hawajapaka piko mwili mzima.
Wananichosha sana mie!!
samahanini jamani, lakini huyu dada mie hamna cku nimependa kuanzia uvaaji hadi cjui make up, kuna pic hapo yaani kajikandika ma powder balaa...cjui mshauri wake nani jamani.
mumewe ndo anakuwa anataka mkewe awe hivoMJ1
Hivi inakuwaje dada zetu, unakuta mke wa mtu anakuwa na tabia hizi.
Ndio hapo tunaposema sijui kuiga au yaani hata sielewi halafu utakuta mumewe alimpenda na weusi wake sasa sijui ataka amfurahishe nani mwingine!!MJ1
Hivi inakuwaje dada zetu, unakuta mke wa mtu anakuwa na tabia hizi.
same here, mimi huwa ananiudhi kweli kweli!!! hajui kuvaa, hajui kuweka makeups basi tabu tupu.......
sijui walimtoa kijiji gani na wasimpe orientation ya mambo muhimu kwa kazi yake.........
sasa ni mteja mzuri wa Maimartha!!!!
waacheni bana...
mbona wengine tunavaa mawig,tunatia chemicals /relaxer nywele etc ....
na bado tunaongeza na vikorombwezo vingine poda,lipstick etc....
nani ana uwezo wa kutoka kama ALIVYOZALIWA???
kisaikolojia kama hujikubali ndio utapaka mkorogo,ili ujifiche behind mask....wenzenu wako affected kisaikolojia na hio ni kama therapy....!
kiukweli Sauda ni mshamba na limbukeni!!!!halafu ana vi style vyake vya ajabu ajabu huko kichwani bac ndio vinaharibu kabisaaaa, yaani cjui hata nielezeeje, kwani mtu unashindwa kuwa cmple tu jamani.
kuna tofauti sana kati y ahivyo vikorombwezo, athari ya wigi, relaxer au lipstic inafanana na ya kujichuna ngozi kweli??
mikorogo pia,sidhani kama ina athari...labda hio ya kichina,lakini najua ya madukani imepimwa...na ipo to serve that purpose(skin bleaching)...
am kweli
gradual changes Saida.....ndo umekuwa hivi sasa? last time I saw u ulikuwa una alama kibao za weusi weusikweye kwapaz, na viungio!!!
haya safari njema kuelekea 'ocean road' kwa Dr. Ngoma
Shangaa wewe dada yangu mie nakumbuka those years walipoanza kipindi na kale kadada kengine kembamba hapo shtaa vitii! alikuwa na rangi ya kiafrika nzuri tuu!
Nashangaa leo kuona uso umebabuka hivi; cjui keshapoteza layers ngapi?:angry::angry:
mikorogo pia,sidhani kama ina athari...labda hio ya kichina,lakini najua ya madukani imepimwa...na ipo to serve that purpose(skin bleaching)...
samahanini jamani, lakini huyu dada mie hamna cku nimependa kuanzia uvaaji hadi cjui make up, kuna pic hapo yaani kajikandika ma powder balaa...cjui mshauri wake nani jamani.