Nanyaro Ephata
JF-Expert Member
- Jan 22, 2011
- 1,221
- 1,788
Wazungu wamedanganya sana juu ya Africa na mwafrica kwa makusudi kabisa.John Hanings Speke 1860,anamweleza mwafrica hivi..kama alivyofanya baba yake huko nyuma ndivyo afanyavyo hadi leo,humtumikisha mkewe na huridhika kufia juu ya nchi nyingine,ni goigoi kama dume la nyani..
Jean Jaques Rouses anasema,mwafrica hawezi kufikiri..
Na bado wanaendelea kutudharau na wakati huo huo viongozi wetu wanaenda kuwekeza huko...
Jean Jaques Rouses anasema,mwafrica hawezi kufikiri..
Na bado wanaendelea kutudharau na wakati huo huo viongozi wetu wanaenda kuwekeza huko...