Wazungu walivyokuja mitaa ya kwetu

Saint Ivuga

JF-Expert Member
Aug 21, 2008
54,377
58,384
from my documents
information_items_1216291611.jpg
 
Kuna tofauti kubwa kati ya nchi zilizoendelea na zinazoendelea..hata katika uvaaji wa kawaida..
 
Huyo jamaa wa mbele ndio kiboko kabisa, kaona kushika kiuno haitoshi akaona anyanyue na guu kabisa ! hahahaa!
 
Kuna tofauti kubwa kati ya nchi zilizoendelea na zinazoendelea..hata katika uvaaji wa kawaida..

Hao wazungu wangekutana na mitoto ya mafisadi wenyewe wangeonekana wametoka kwenye nchi ambayo haijaendelea.
 
Huyo mzungu kama sikose ni Jane Goodall aliyekuwa anafanya utafiti wa sokwe kule kigoma, hifadhi ya gombe
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom