Herbalist Dr MziziMkavu
JF-Expert Member
- Feb 3, 2009
- 42,268
- 33,040
Tumezoa kwa sana hali kama hizi zikitokea katika ardhi za kiafrika lakini kwa Tanzania tungesema mengi sana na hata kutaka kuzipiga uwanjani yaani wachezaji kwa wachezaji ama hata washabiki kwa washabiki,lakini sasa hebu amini hiki ni kituko kilichotokea katika mchezo kati ya Fc Bercelona na timu ya ELCHE iliyomalizika kwa timu ya Bercelona kushinda mabao mawili kwa bila(2-0).
Lakini cha kushangaza mchezo ulisimama dakika kadhaa kupisha kituko hicho cha paka mweusi tiiiiiiiiii aleikatiza uwanjani duhhhhhhhhhhhhhhhh hata kwao wapo bwana!
Lakini cha kushangaza mchezo ulisimama dakika kadhaa kupisha kituko hicho cha paka mweusi tiiiiiiiiii aleikatiza uwanjani duhhhhhhhhhhhhhhhh hata kwao wapo bwana!