Dena Amsi
R I P
- Aug 17, 2010
- 13,082
- 4,260
unajuaje inaonekana na yeye ana libabu la kizungu ambalo halina hata meno
Ha ha ha ha ha wewe umenichekesha mpaka natamani kulia
unajuaje inaonekana na yeye ana libabu la kizungu ambalo halina hata meno
mapenzi hayachagui mweusi wala mweupe acheni ubaguzi wenu hapa.........
si ndo hapo tukibaguliwa huko kelele nyingi sana wakati sie wenyewe kimtindomtindo tumo kwelikweli...Shosti umewastukia ee?
Racism in not only in the western.
Hapo hakuna mapenzi.....ila kuna utumwa.....wa pesahuku Arusha ndio style ya madriver guide wengi, unakuta mtu ana mke na watoto anatafuta mzungu kwa nguvu zake zote, akishampata huyo bibi wake anamwambia mke akae kimya huu ni wakati wa mavuno. na wanawake wengine tena wengi tu wanapiga kimya wanaona ni jambo la kawaida tu. na bibi wa kizungu anaambiwa sina mke wala mtoto. Sasa tutasema haya ni mapenzi kweli
wengi ni wale ambao hawana kazi za kueleweka wanawafuata hawa wazungu kwa ajili ya pesa, demu anachofanya ni kujua tu kingereza au kiswanglish, kumpa mzungu utamu na kupokea pesa
wengi wao wazungu ni wakubwa sana kwa age, anataka mtoto wa kuliwaza ataenda wap zaidi ya machangu
Shosti hapo umenena . Wengi wa hawa wazungu ni macriminal wamekimbia kwao wanakuja kujificha. Wengi wao utawakuta wanakaa miaka nenda rudi na pesa zao husikii wakirudi kwao. Wengi sana wanatafutwa na FBI. Mimi natuma angalizo kwa wale wote wenye wazungu msishangae mkikuta fbi in bongo. Halafu wengi wao rahisi kweli kuwakamata maana wake zao wanawaexpose kwenye mablog kimno hao hawatakuwa na shida ya kubainika.hapo nimekuelewa mpenzi na hao unaowazungumzia ni macriminal hao,wenye heshima zao huwa hawafanyi hivyo na hata wakioa wazungu wenzao huwa wanaoa wenye tabia kama zao,nilidhani vimini nikasema looo jamani mnatuonea maana wengine tunajijua wenyewe mpenzi maguo mapana na marefu yamezidi sana juu ya goti.....
Eti kuna watu wanasema wazungu wanapenda wanawake wa sampo hizo kwa vile ni rahisi kuwa DO kinyume na maumbile. Je hii inaweza
kuwa na ukweli wowote?
Ze opposite is true, hapa zenj utakuta wasichana wazuri wakizungu wakiwa na sampuli za wavulana kama hao wasichana unaosema. Na pia utashangaa kuona vibibi vya kizungu navyo vinaenda vimekumbatiwa na ha vijana wadogo. Kwa ufupi kama wewe ni mwanaume unataka msichana wa kizungu nenda zako kapate bangi, timua nywele, suruali fungia matakoni hapo ni mara moja kama si msichana wa kizungu basi utapata kabibi. Au vaa kimasahi na kuaza kusema mimi nimeishaua simba hapo mzungu hana la kusema!
Wazungu wanahitaji mtu ambaye ni funny and rough siyo mtanashati, kwa kuwa wenzetu huwa hawa pretend/act behaviour kama sisi. They believe kila mtu yupo huru na hatakiwi kudanganya katika mapenzi na mambo mengine.
Kwa kawaida hawa wazungu wanataka msichana/mvulana ambaye ana muda wa kuwa nae muda wote, sasa wasichana/wavulana wenye heshima zao si wapo makazini muda mwingi kaka! Hapo hutawezana na hawa wazungu, wengi wao wamekuja tu kwa muda na wanataka kufurahia maisha kwa muda mfupi na kurudi kwao
Ni marachache sana kukuta mwanaume wa kizungu akiwa na demu wa kibongo(mbantu) aliyetulia,mwenye kujiheshimu,mwenye elimu au hata mwenye kazi mzuri. Badala yake ukikutana na hawa wazungu huku mitaani utakuta yupo na demu ambaye unashindwa kumjudge!! yaani teja si teja....changudoa si changudoa....bangi si bangi....yaani nguo utazoona amevaa huyo mwanamke utasema ameokota jalalani! .....yaani mchafu kwenda mbele. Pita maeneo ya posta, masaki,osterbay,kariakoo nk. utajionea mwenyewe. Swali langu ni - Hawa mashemeji zetu wazungu kwanini wanapenda mademu wa sampo hii? kwanini wasiwe na mademu wenye sifa nilizozitaja hapo juu? Au kuna siri iliyojificha?
Nakaribisha mgongano wa kimawazo na kimtazamo:- Ahsanteni
kah mie walivyo nitoka hawa wakaka wa bongo naomba mungu nipate hata kibabu kilichoisha meno hata ikiwezekana na fizi zimeanza kungooka as long as i will find my happiness there ooh my God will go fo it na sitajali hata kidogo
Yaani we acha tu, afadhali na Tigo. Mie kukojolewa mdomoni ndo nitatapika kila nikikuona. Ogopa shida na kutafuta.Hili swali lina ukweli kabisa mie hata huwa najiuliza hivi kwanini wazungu wanakuwa na wanawake hadi unaona aibu wanavyovaa aise.
Mzungu mie namuogopa sana kwa yale mambo ya tigolization labda na wadada wa heshima wengi hufanya hivyo maana duh unakuta mwanamke kavaa kama anajiuza