mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 626
- Thread starter
- #21
Je, uko teyari kufall in love na mzungu au na wewe unawaogopa kama dada Dena Amsi?......ha ha haaaa...labda muonekano wa mambo mengine,ila kwa mavazi naona tunatofautiana kimtazamo na wazungu,sie huku kuvaa sketi ndefu na nguo zinazostahi mwili ni heshima wakati kwa mzungu ni kituko,akija na joto la Dar haexpect uvae nguo hizo,badala yake nguo zile fupi,vikaptula nk ili usife na joto,.....