Mhafidhina
JF-Expert Member
- Feb 6, 2008
- 549
- 22
Tunawakaribisha kwa mikono miwili halafu baada ya muda kidogo utasikia kilio watakacho tuachia...!
View attachment 21028
View attachment 21028
Ha ha ha~wewe Kimicho ni kiboko. Nimecheka mwenyewe hapa mpaka mbavu zinaniuma!.]Halafu viongozi wetu wanachekelea kama mazuzu[/COLOR].
hivi ni nini maana ya mzungu eti?Hivi kila mtu mweupe ni mzungu nauliza
hivi ni nini maana ya mzungu eti?
'Baba' mwenyewe ombaomba unategemea nini?
..................... maana halisi ni alakadabra ! yaaani mazingaombwe !:juggle:
Ni kweli kabisa.
hivi ni nini maana ya mzungu eti?