Wazungu kila kona...!

Mhafidhina

JF-Expert Member
Feb 6, 2008
549
22
Tunawakaribisha kwa mikono miwili halafu baada ya muda kidogo utasikia kilio watakacho tuachia...!

Mzungu 2.JPG

Mzungu 1.JPG

Mzungu 5.JPG

Mzungu 4.JPG

View attachment 21028
 
Wazungu si waliwafukuza tena kwa mbwe mbwe tukasahau kuwa wao wameshika mpini sisi makali. Sasa ni miaka 49 bado tunawaomba omba. Tumelamba matapishi.
 
Ukoloni unarudi kwa nguvu, kasi na ari mpya. Sintoshangaa kama miaka ishirini ijayo itatubidi tuanzishe vita vya ukombozi kama enzi zileee!
 
na ajenda zao kwa bara la Afrika hazijabadilika tangu enzi za Mfalme Leopold wa Ubelgiji.
 
Na kibaya sana, wanarudi wale wale ambao wamerithi mikoba ya Carl Peters. Pamoja na usomi wote tulionao, hapo kwenye suala la wazungu tumezidiwa maarifa. Tumeuza yote bila ya bunduki wala uvamizi wa kijeshi.
 
MMhhh!

Hapo kwenye Mchuchuma negotiations; wazungu upande wetu ni nani washauri?.......nielewavyo ilikuwa ni watz na wachina
 
Ni kweli kabisa.

Acheni waje, sisi wengine ndio tukua na uhakika wa pombe ya kulewa. mfano sasa hivi tunalipa madeni, dowans na mengineo? Unategemea nchi inabakiza hela hii!!!!!! Acheni waje banaaaaaaaaaaa!
 
Viongozi wetu ndo wanatuzingua hawajui kuwaza ila kujipendekeza tu,kwani hao wazungu ndo wanajua kuwaza kuliko sisi?Watu hatuja pata xposure tuna wezafany maajabu.
 
hivi ni nini maana ya mzungu eti?

Ni kama vile ulikuwa kwenye mawazo yangu. Maana naona kila mtu mweupe anayeonekana kwenye hizo picha ameitwa mzungu. Mfano ukiangalia picha ya mwisho ina wachina ndani yake.
 
Back
Top Bottom