Wazungu bora kuliko waafrika?

Wewe na hovyo kweli unamaanisha nini????? Kwani lazima udungwe sindano ndio uige mambo?. Hujui kwamba watu wanaiga mabaya na mazuri ktk jamii au wewe unaishi dunia ya ngapi? Inaonyesha uelewa wako mdogo sana ktk mambo mbali mbali. Usijibu comment ilimradi uonekane umejibu au unanifahamu ndio maana unaleta upinzani?

Changia topic kama unamaneno ya kuongea kama huna kaa kimya.. Hiyo topic nadhani hujaielewa na vile vile hao wazungu wenyewe unawasikia na kuwaona kwenye TV tu...
Nilikuwa nasupport point ya binti kisura wewe unaachama achama tu ili mlimradi uongeze number ya post!

Habari ndio hiyo !

Regards

Sasa wewe utamuona mtu anatembea na chupi peke yake na wewe uige???? Kisa watu wanaiga mabaya na mazuri, ina maana akili yako haina uwezo wa kuchagua jema na baya la kuiga, we vipi, ina maana siku ukiwa na nyadhifa fulani serikalini utakuwa fisadi pia?
 
Yaani nilitegemea kuwa wewe ni mwanamke mwenye busara sana na ndio maana nikajieleza haswa kumbe walewale tu! Kuwa supported na goverment is not the reason why some people are independent in europe, trust me, ni mentality yako tu ndio itakayoamua.

Baadhi ya wanawake wa kitanzania ni waoga kupita kiasi when it comes to face challenges. Nimetoa mfano wa ndugu yangu ili upate picha kamili ya wanawake wanavyoteseka na si kwamba ninao mfano huo tu, ninayo mingi na mingine mpaka inatisha jinsi baadhi ya wanaume walivyo, mwanaume anaweza kumpiga mke wake sana kiasi kwamba mke akipata upenyo akakimbia nje anamkimbiza na PANGA mpaka barabarani watu wote wakishangaa na bila aibu anaendelea kumpiga, mbele ya watoto wake binafsi, majirani, n.k mpaka watu baki wanamwokoa huyo mwanamke and sadly, after all that humiliation still huyo mwanamke anaendelea kukaa na huyo mwanaume na nilipomuuliza kwa nini asitafute maisha yake mengine alisema hivyohivyo, "sasa jamii itanielewaje"? Sasa ni uvumilivu gani unataka huyo mwanamke awe nao hapo?

Baadhi ya wanawake wa kitanzania mnaolewa ili muonekane na nyie mmeolewa mbele ya jamii na maisha yenu yote mnaishi kwa sababu ya jamii na sio yenu binafsi, na ndio maana wengi wenu mnaoverlook tabia za baadhi ya waume mlionao kabla hawajawaoa kwa kudhani kuwa wakishaoa watabadilika, matokeo yake mambo kama hayo yakianza kuwatokea mnashindwa kutoka na kubakia kusingizia dini, dini! Ina maana mume wako atakudhalilisha kwa kukupiga kila siku tena mbele za watu na kutembea nje na wanawake, tena wengi wao wakiwa ni marafiki zako then uendelee kuvumilia kisa dini zinakataa divorce? Are you that crazy? Ni wanawake wangapi tunawaona mahospitali wakiwa wameunguzwa na moto, kukatwakatwa viungo na waume zao because they were forgiving them all the time mpaka yanawakuta makubwa zaidi? Aisee we ni kiboko, yaani kama ni kweli unasupport hao wanawake waendelee kunyanyasika ndani ya ndoa zao basi wewe ni mwanamke wa kwanza limbukeni kuliko malimbukeni wote niliowahi kukutana nao.

Mwanamke ni wewe na Mama yako! u are so biased kwa sababu unasupport wanawake kisa tu wewe ni mwanamke simama kwenye ukweli.
Mimi ni mwanaume tena si mwanaume wa kawaida wa nguvu mwenye kila sifa ya kuwa mwaume. Elimu, pesa, sura na mchamungu pia. Have u ever been to school? Maana understand capacity yako ndogo sana. Huwezi kuelewa even a simple topic na issue kama hii...

Nimesoma comment zako nyingi inaonekana shule imepita kushoto. Unaingia jf kwa kuwa huna cha kufanya na unacomp nyumbani. Msaidie mumeo kutafuta pesa ya matumizi otherwise rudi shuleni. Unakipaka dada
 
Sasa wewe utamuona mtu anatembea na chupi peke yake na wewe uige???? Kisa watu wanaiga mabaya na mazuri, ina maana akili yako haina uwezo wa kuchagua jema na baya la kuiga, we vipi, ina maana siku ukiwa na nyadhifa fulani serikalini utakuwa fisadi pia?

Wewe uliyoiga yote ni mazuri? Teenagers ndio wepesi sana kuiga mambo sijui unalielewa hilo? Jamii ya kitanzania ktk maadili ktk miaka ya 80 ni sawa na miaka ya 2000? Inamaana kuporomoka kwa maadili kusababishwa na watu kutokuwa na akili ya uwezo wa kutambua baya au zuri? Mimba mashuleni, Uvutaji wa sigara ktk umri mdogo na mengineyo huyaoni yanavyoongezeka ktk jamii.. What can u say about this?


Hivi wewe level ya elimu yako ni ipi? Mbona unaonekana kama ujasoma kabisa! Maana ata standard seven anaweza kuelewa mambo kirahisi. Dont comment kama huna point. May be uelewi kiswahili vizuri otherwise inabidi nikupe private lesson ktk hili. Huyo mmeo au bf yako anakazi kweli kweli maana mtu mwenye maji 0 mafuta robo.
 
Kama uko ulaya nadhani unafahamu kwamba goverment inaawangalia single moms, yani uki divorce na kuwa single mom unapata benefit ya kiasi fulani cha pesa kila wiki. Vile vile gov zina support watu wasio na kazi. Hiyo inapelekea both wanaume na wanawake kuwa independent. Vile vile inapelekea wanawake wengi kutokuwa wavumilivu maana wanaweza kuwa independent kutokana na gov kuwaangalia. Hayo mateso unayoyazungumzia wewe ni mateso gani? Yani ndugu yako kateswa unaunganisha wanawake as if ni wengi ajabu. Unasema eti Wanawake wanatakiwa waamke huo usingizi mzito wa ulimbukeni waliolala kwamba nikiachana na mume wangu nitachekwa. Wewe dini gani? Dini zote hazisupport divorce badala ya kushauri wanaume wabadilike na ku treat wake zao vyema unasisitiza kuacha should normal thing. Kama upo ulaya basi wewe unashinda care au warehouse yani huna social life na kujua maisha yanakwendaje huku! Kama uko tz basi tafuta visa njoo ujionee kisha utume comment otherwise waachie kina binti kisura na pretty wachangie.


@Mahai..well said naona watu tunaona tofauti sana!! Uyo ndugu yako ni picha ya baadhi ya wanawake wanaoteseka na ndoa zao hata kama si wote but still anapresent iyo fraction!! Yes wapo wenye maisha mazuri but hao ulowazungumzia ni wengi tu wanaong'ang'ania ndoa zenye mateso! Mbona tunasoma magazeti kila siku wanawake waliouwawa kikatili unafikiri inatokea tu from no where!! Vinaanza ivo vipigo vya hapa na pale mwishowe ndo huo!!
 
Anyway, nimepost nikiwa nasoma page six na bahat mbaya nilitaka kuquote post ya mahai ambayo ilikuwa ndani ya post ya ogm..but iam not part of this argument i have come accross reaching page 7... But to my view Mahai iyo ni picha halisi hata mie nina mifano mingi tu!! Majority nafikiri wanaogopa jamii kama ulivosema!! Na financial instability!!
 
Nimesoma comment zako nyingi inaonekana shule imepita kushoto. Unaingia jf kwa kuwa huna cha kufanya na unacomp nyumbani. Msaidie mumeo kutafuta pesa ya matumizi otherwise rudi shuleni. Unakipaka dada
 
Huyu demu kaona yeye kafanya umalaya kiasi wanaume wa Kibongo wamemtema then anaanza kuwakandia. Hebu tuangalie nchi kama za US ndoa ngapi zimeingia matatani kwa sababu ya cheating? issues za DNA etc. Huyu demu kachizi tu.
 
Mwanamke ni wewe na Mama yako! u are so biased kwa sababu unasupport wanawake kisa tu wewe ni mwanamke simama kwenye ukweli.
Mimi ni mwanaume tena si mwanaume wa kawaida wa nguvu mwenye kila sifa ya kuwa mwaume. Elimu, pesa, sura na mchamungu pia. Have u ever been to school? Maana understand capacity yako ndogo sana. Huwezi kuelewa even a simple topic na issue kama hii...

Nimesoma comment zako nyingi inaonekana shule imepita kushoto. Unaingia jf kwa kuwa huna cha kufanya na unacomp nyumbani. Msaidie mumeo kutafuta pesa ya matumizi otherwise rudi shuleni. Unakipaka dada

Ogm12000,

Sorry if I made you feel insulted with my points above. I am trying to show you how certain men treats their wives in Tanzania. Of course I understand that single moms get financial support from the goverment in Europe and also their ex-husbands contributes money for their children at the end of every month but still thats not the reason for women in Tanzania to stick to their dysfuntional marriages. Nowadays we have social welfare offices and women groups like TAMWA which can help women in TZ. Are you saying once a woman is married she should stick to her difficult marriage just because she doesnt get financial support? Mbona a lot of women in TZ are creative enough to start even a small business to sustain her daily life? Are you implying that women need men in a marriage otherwise they dont have anywhere to go?

I didnt mention the above example as being major reason to explain the recent interest, Tanzanian women have been having in European men. They merely underline the fact that Tanzanian society is still at a relatively early stage in terms of female emancipation. It is not unusual to find a high incidence of gender base discrimination/violence, lack of recognition and the like. Though belonging to this society myself, I can not deny the fact that they are many aspects (other than economic/material ones) which many women I have encountered would find attractive in European society. As a woman I know because I have experienced it, I can air my thought very openly and freely to European men and they will listen with respects and never insult me. This is not only for women who have gone to school but also those who have not. I agree there is a lot of men in Europe who are chauvenist but you are more likely to find men who are aware of what women are capable of. I have male friends in Tanzania whom I cant argue anything with because they will all disagree with me even if I am right, why, because I am a woman. In countries like Sweden (which I have had the priviledge to visit) a lot of men have genuine respect for women whether they are lecturers in a University or serving coffee in a coffee shop.

Lakini wewe umeanza kwa kunidharau kuwa sijaenda shule na kuwa shule imenipitia kushoto ina maana kama ni kweli sijaenda shule na hoja niliyotoa hapo juu ndio experience yangu niliyopitia maishani sitakiwi kuongea kwa kuwa sio msomi? Unaona sasa wanaume wa Tanzania mnavyobagua watu? Unajua ni kwa nini mtu hajaweza kwenda shule kupata elimu kama hiyo uliyonayo wewe ambayo unaidhalilisha? Utajisifiaje eti wewe ni mwanaume wa nguvu, tajiri, uliyeelimika na unayempenda Mungu. Come on, wanaume wenye sifa hizo huwaga hawajisemi kaka, wananyamaza watu wagundue wenyewe. I am dating a Tanzanian guy and I respect Tanzanian men who value women as they value themselves.

I think your feeling a little hurt because there is a part of you which agrees with my arguements, its just you dont want to accept it thats why you resort to "Argumentum ad hominem" or rather "ad feminem".
 
Ogm12000,

Sorry if I made you feel insulted with my points above. I am trying to show you how certain men treats their wives in Tanzania. Of course I understand that single moms get financial support from the goverment in Europe and also their ex-husbands contributes money for their children at the end of every month but still thats not the reason for women in Tanzania to stick to their dysfuntional marriages. Nowadays we have social welfare offices and women groups like TAMWA which can help women in TZ. Are you saying once a woman is married she should stick to her difficult marriage just because she doesnt get financial support? Mbona a lot of women in TZ are creative enough to start even a small business to sustain her daily life? Are you implying that women need men in a marriage otherwise they dont have anywhere to go?

I didnt mention the above example as being major reason to explain the recent interest, Tanzanian women have been having in European men. They merely underline the fact that Tanzanian society is still at a relatively early stage in terms of female emancipation. It is not unusual to find a high incidence of gender base discrimination/violence, lack of recognition and the like. Though belonging to this society myself, I can not deny the fact that they are many aspects (other than economic/material ones) which many women I have encountered would find attractive in European society. As a woman I know because I have experienced it, I can air my thought very openly and freely to European men and they will listen with respects and never insult me. This is not only for women who have gone to school but also those who have not. I agree there is a lot of men in Europe who are chauvenist but you are more likely to find men who are aware of what women are capable of. I have male friends in Tanzania whom I cant argue anything with because they will all disagree with me even if I am right, why, because I am a woman. In countries like Sweden (which I have had the priviledge to visit) a lot of men have genuine respect for women whether they are lecturers in a University or serving coffee in a coffee shop.

Lakini wewe umeanza kwa kunidharau kuwa sijaenda shule na kuwa shule imenipitia kushoto ina maana kama ni kweli sijaenda shule na hoja niliyotoa hapo juu ndio experience yangu niliyopitia maishani sitakiwi kuongea kwa kuwa sio msomi? Unaona sasa wanaume wa Tanzania mnavyobagua watu? Unajua ni kwa nini mtu hajaweza kwenda shule kupata elimu kama hiyo uliyonayo wewe ambayo unaidhalilisha? Utajisifiaje eti wewe ni mwanaume wa nguvu, tajiri, uliyeelimika na unayempenda Mungu. Come on, wanaume wenye sifa hizo huwaga hawajisemi kaka, wananyamaza watu wagundue wenyewe. I am dating a Tanzanian guy and I respect Tanzanian men who value women as they value themselves.

I think your feeling a little hurt because there is a part of you which agrees with my arguements, its just you dont want to accept it thats why you resort to "Argumentum ad hominem" or rather "ad feminem".

Mahai

Kitu kilichosababisha ni seme hujaenda shule ni jinsi ambavyo una approach vitu. Nilikuwa nikisupport point ya "sugar girl" ukanijibu kwa kusema "wewe nawe hovyo kweli". Kama uliona niko wrong unaweza kuni critize kwa point na kunielimisha vizuri tu, kuliko kuanza kutumia lugha za ajabu ajabu. Sasa hapo elimu yako itakuwa imekusaidia nini ikiwa hujui jinsi ya ku approach vitu?. Umeniita "mwanamke mwezangu" ni wapi ambapo imeonyesha gender yangu mimi ni mwanamke? Hiyo kauli ilini piss me off sana.

Wanawake ni Dada zangu, Shangazi zangu, Mama zangu , bibi zangu na wake zangu pia. Nawaheshimu sana tu maana nikimtukana mwanamke ni sawa na kutukana mmoja wa niliowataja hapo. Ila sipendi kutetea vitu kwa kuwa biased.
Tumetoka mazingira tofauti kwa hiyo uono wetu wa mambo unaweza kupishana kutokana na mazingira tunayotokea ndio maana tunapingana ktk baadhi ya mambo. Personally siwezi kukupinga kisa eti ni mwanamke, nakubaliana na wewe wako wenye mentality hiyo.
Sijakudharau lkn kauli zako hazijakaa vizuri na sijui ni kwanini! Kuhusu kujisifu sijajisifu ila habari ndio hiyo naweza kukupa home adress ktk pm . Umeniita mwanamke! Ulitegemea niseme nini? ikiwa mimi ni mwanaume mwenye sifa zote mwanaume anazotakiwa kuwa nazo?.
Kwa mtazamo wangu wanawake wengi wa kitanzania wanazing'ang'ania ndoa zao kutokana na uwezo wa kipesa. Wanaona kwamba wakiacha na waume zao uenda wakashindwa kuangalia familia zao. Ni kweli kama ulivyosema kuna wengine wanaogopa tu kwa sababu watu watawazungumzia vibaya. Hizi ni miongoni mwa sababu za wanawake wa kitanzania kung'ang'ania ndio zao. Zinaweza kuwepo sababu nyingine nyingi tu. Na mara nyingi tunapoizungumzia Tz tusiangalie Dar, Arusha na sehemu ziizoendelea kidogo. Angalia vijijini ndio utagundua maisha halisi ya mtanzania. Baba ndio kichwa cha familia na anategemewa kwa kila kitu wanawake wanaishi kwa kutegemea waume zao na hiyo inaleta ugumu kivunja ndoa zao hata kama wananyanyasika.
Comment zako nyingi una encourage wanawake wafunguke macho na kuacha kung'ang'ania ndoa zisizo na furaha? Je huoni kwamba idea yako ni ya kuongeza divorce ktk jamii? Kwanini usinge shauri kina baba tubadilike na kuwa treat wake zetu vizuri. Nafakiri dawa ya tatizo si tatizo ila dawa ya tatizo ni tiba. Je malezi ya watoto bila baba au bila mama unayaonaje? .
Ndio maana nikasema kwamba ata dini hazishauri watu waachane na wake/waume zao. Madhara ya divorce ni makubwa na divorce inamchukiza mungu lakini inapobidi inafanywa ila isiwe ndio choice.
Napenda kuongea kwa lugha nzuri yenye heshima ndani yake. Ukiniongelea vibaya nitakujibu vibaya pia. JINO kwa JINO :) .


Regards
 
Mahai

Kitu kilichosababisha ni seme hujaenda shule ni jinsi ambavyo una approach vitu. Nilikuwa nikisupport point ya "sugar girl" ukanijibu kwa kusema "wewe nawe hovyo kweli". Kama uliona niko wrong unaweza kuni critize kwa point na kunielimisha vizuri tu, kuliko kuanza kutumia lugha za ajabu ajabu. Sasa hapo elimu yako itakuwa imekusaidia nini ikiwa hujui jinsi ya ku approach vitu?. Umeniita "mwanamke mwezangu" ni wapi ambapo imeonyesha gender yangu mimi ni mwanamke? Hiyo kauli ilini piss me off sana.

Wanawake ni Dada zangu, Shangazi zangu, Mama zangu , bibi zangu na wake zangu pia. Nawaheshimu sana tu maana nikimtukana mwanamke ni sawa na kutukana mmoja wa niliowataja hapo. Ila sipendi kutetea vitu kwa kuwa biased.
Tumetoka mazingira tofauti kwa hiyo uono wetu wa mambo unaweza kupishana kutokana na mazingira tunayotokea ndio maana tunapingana ktk baadhi ya mambo. Personally siwezi kukupinga kisa eti ni mwanamke, nakubaliana na wewe wako wenye mentality hiyo.
Sijakudharau lkn kauli zako hazijakaa vizuri na sijui ni kwanini! Kuhusu kujisifu sijajisifu ila habari ndio hiyo naweza kukupa home adress ktk pm . Umeniita mwanamke! Ulitegemea niseme nini? ikiwa mimi ni mwanaume mwenye sifa zote mwanaume anazotakiwa kuwa nazo?.
Kwa mtazamo wangu wanawake wengi wa kitanzania wanazing'ang'ania ndoa zao kutokana na uwezo wa kipesa. Wanaona kwamba wakiacha na waume zao uenda wakashindwa kuangalia familia zao. Ni kweli kama ulivyosema kuna wengine wanaogopa tu kwa sababu watu watawazungumzia vibaya. Hizi ni miongoni mwa sababu za wanawake wa kitanzania kung'ang'ania ndio zao. Zinaweza kuwepo sababu nyingine nyingi tu. Na mara nyingi tunapoizungumzia Tz tusiangalie Dar, Arusha na sehemu ziizoendelea kidogo. Angalia vijijini ndio utagundua maisha halisi ya mtanzania. Baba ndio kichwa cha familia na anategemewa kwa kila kitu wanawake wanaishi kwa kutegemea waume zao na hiyo inaleta ugumu kivunja ndoa zao hata kama wananyanyasika.
Comment zako nyingi una encourage wanawake wafunguke macho na kuacha kung'ang'ania ndoa zisizo na furaha? Je huoni kwamba idea yako ni ya kuongeza divorce ktk jamii? Kwanini usinge shauri kina baba tubadilike na kuwa treat wake zetu vizuri. Nafakiri dawa ya tatizo si tatizo ila dawa ya tatizo ni tiba. Je malezi ya watoto bila baba au bila mama unayaonaje? .
Ndio maana nikasema kwamba ata dini hazishauri watu waachane na wake/waume zao. Madhara ya divorce ni makubwa na divorce inamchukiza mungu lakini inapobidi inafanywa ila isiwe ndio choice.
Napenda kuongea kwa lugha nzuri yenye heshima ndani yake. Ukiniongelea vibaya nitakujibu vibaya pia. JINO kwa JINO :) .


Regards

Katika point yangu niliyosema kuwa wewe ni mwanamke mwenzangu, nilikuwa nafanya debate na "Pretty" maana niliamini Pretty ni mwanamke, na aliponijibu kuwa mimi "nashinda care na kwenye ware house kama niko Europe" ndio na mimi nikajibu bila kujua ni wewe uliandika. Na kosa nililofanya ni kusahau kuandika kwenye point iliyofuata.

All in all point yangu inaeleweka.

Any culture that has gone beyond this point on gross level will also show signs of development on microscopic level.

The point is not ony beating wives (which is unjustifiable), but many other subtle ways of exercising power over women, like:

  • sexual prejudice ("huyu ni mwanamke, hajui kitu", "hiki ni kikao cha ukoo, kimila wanawake wanatakiwa wasiwepo", or simply no response to my previous comment)
  • ...Mke: "naomba kwenda saluni", Mme: "mbona ulienda juzi tu?", Mke:nilienda mwezi uliopita, huoni zimeshafumuka?" Mme: "Wewe ni saluni tu kila siku. By the way, hayo ndiyo majibu yako siku hizi, eeh?"...)
  • Ung'ang'aniaji wa resources: Mke: "naomba kutoka na akina... na ... Kwa nini usiniachie gari, maana wewe si utakuwepo tu nyumbani?" Mme: "Hapana, siwezi kukuachia gari. Na mimi nikihitaji kutoka? (anajua kwamba hatoki tena, sema basi tu).

Formula: Lower awareness of civil liberties + obsolete social/cultural customs (e.g. obligation to be overly submissive) = fertile ground for male domination and chauvenism.
THEREFORE: adequate reason for women to display interest in European men.
AND: TZ men learn to be more supportive of your women/wives, to show understanding for their emotional lives, the challenges they're facing, and for goodness sake: use every opportunity to educate them!!

I have to rush, mengine baadaye.
 
Kawaida wazungu wengi wanatawaliwa na wake zao.. Card ya bank, nyumba, gari etc vinakuwa chini ya mwanamke.. Hii ni moja ya sababu.. Mswahili gani atakubali ujinga huo?

Talk is cheap! Je unaweza thibitisha haya uliyoandika?
 
Back
Top Bottom