Bhbm
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 714
- 208
Usisahau koti zito kwani ulaya kwa kipindi hiki ni baridi japokuwa inaanza kupungua, baridi ya ulaya ni nyepesi na kali sana kuliko hii ya kwetu makambako. Koti uwe nalo mwenyewe wakati wote na usiweke kwenye bag kubwa kwa kuwa utashindwa kulitoa. Na ndani ya ndege pia huwa kunabaridi usiku.