wazoefu wa kukwea pipa

Change_it

JF-Expert Member
Sep 17, 2010
279
83
wakuu naomba mnijulishe ni vitu gani vinahitajika mfano labda nafanya booking ya flight from Dar to Paris via amsterdam,au nataka kufika paris lakini lazima nipitie amsterdam,wale wazoefu naombeni msaada wenu.
 
kwa hiyo nakata tiketi ya klm kwenda paris nikfika amsterdam inakuje?

mkuu usiwe muoga.. yaani unataka upewe desa umeze .. try on ur own ndio kujifunza huko.... ukiwa safarini ukikwama mahali unauliza :redface:
 
mkuu usiwe muoga.. yaani unataka upewe desa umeze .. try on ur own ndio kujifunza huko.... ukiwa safarini ukikwama mahali unauliza :redface:

mkuu sio uoga nataka kupata details kwa wazoefu ili nisije nikwama nikaingia hasara kwa kutoelewa vitu vidogo.
 
mkuu sio uoga nataka kupata details kwa wazoefu ili nisije nikwama nikaingia hasara kwa kutoelewa vitu vidogo.
UKishakata tiketi la KLM, watakupa muda wa kufika airport jitahidi ufike mapema ili wakitanganza tu check-in, uwe wa kwanza au wa pili, ukishaingia basi wewe agiza wine au juice ya apple gonga taratibu hadi utakapofika Amsterdam, pale kwenye boarding pass yako watakuwa wameandika ndege unayotoka nayo amterdam kwenda Paris namaanisha hiyo ndege ina namba zake, gate utakaloingilia na muda! kwa hiyo ukiwa hapo amterdam we check au uliza hilo gate liko wapi na check-in yake iko wapi! utapata maujanja mengine hapo hapo. All the best!
 
UKishakata tiketi la KLM, watakupa muda wa kufika airport jitahidi ufike mapema ili wakitanganza tu check-in, uwe wa kwanza au wa pili, ukishaingia basi wewe agiza wine au juice ya apple gonga taratibu hadi utakapofika Amsterdam, pale kwenye boarding pass yako watakuwa wameandika ndege unayotoka nayo amterdam kwenda Paris namaanisha hiyo ndege ina namba zake, gate utakaloingilia na muda! kwa hiyo ukiwa hapo amterdam we check au uliza hilo gate liko wapi na check-in yake iko wapi! utapata maujanja mengine hapo hapo. All the best!
shukrani mkuu
 
wakuu naomba mnijulishe ni vitu gani vinahitajika mfano labda nafanya booking ya flight from Dar to Paris via amsterdam,au nataka kufika paris lakini lazima nipitie amsterdam,wale wazoefu naombeni msaada wenu.

hapa labda ueleze....nia ni ufike Paris au unataka uone na mazingira ya Amserdam....?
 
Duh, piga simu au nenda kwenye ofisi za mashirika ya ndege watakuelezea hadi utapewa notisi za kujisomea.

Usisahau kuuliza jinsi ya kutumia toilet ya kwenye ndege za ulaya maana nasikia huwa ni automatik sana.
Unaweza kuta pameandika 'Toilet" afu huoni kichumba, kumbe ni kabatani kadogooo kama kipunje cha mchele, ukikabonyeza tu choo kinakuja.
Usije ukatumia chupa ya maji ya uhai bure kujisevia.

Bado suala la msosi, kama hujui misosi kwa kireno au kiitaliano, beba mihogo ya kuaanga ya pale koko bich.

Na ukifika mastadam, konsentrate, ukizubaa kidogo unakonect kurudi TZ badala ya kwenda Paris, hapa mbinu mbadala ukifika JIA, tangaza utafutiwe mtu anayeenda paris unamfuata huyo huyo.

Nina ushauri mwingi ila acha nipige kazi kwanza, kama hujanielewa nibip kwa LIKE, sio PM.
 
Mimi sijaelewa; unataka utoke nje ya airport halafu baadaye uunganishe? For that nafikiri utahitaji visa.

Ila kama ni kuboard ndege nyingine mbona easy tu, boarding pass utapewa 2 hapa hapa Dar, moja ni ya kufika Amsterdam na ya pili ni ya kutoka a'dam kwenda Paris. Na hiyo inaonesha gate no na time; na uzuri wa airport za wenzetu kuna directives za kutosha, huhitaji hata kumuuliza mtu, kuna miscreen kibao inaoonesha flights na muda na boarding gate, vibao lukuki vya kuonesha directions za gates!

So worry not, visa card yako yakutosha kununua kahawa, books,wine nk. Ukiwa na Simu ya maana unatesa tu na line yako ya Voda!
 
UKishakata tiketi la KLM, watakupa muda wa kufika airport jitahidi ufike mapema ili wakitanganza tu check-in, uwe wa kwanza au wa pili, ukishaingia basi wewe agiza wine au juice ya apple gonga taratibu hadi utakapofika Amsterdam, pale kwenye boarding pass yako watakuwa wameandika ndege unayotoka nayo amterdam kwenda Paris namaanisha hiyo ndege ina namba zake, gate utakaloingilia na muda! kwa hiyo ukiwa hapo amterdam we check au uliza hilo gate liko wapi na check-in yake iko wapi! utapata maujanja mengine hapo hapo. All the best!

usisahau kulizia
[h=1]Red Light District in Amsterdam unafikaje?[/h]
 
hapa labda ueleze....nia ni ufike Paris au unataka uone na mazingira ya Amserdam....?

huo ni mfano tu, kwa DAR na NAIROBI kuna baadhi ya nchi ukitaka kwenda hakuna direct flight mpaka upitie armsterdam,nafkiri utakuwa uminielewa.
 
Duh, piga simu au nenda kwenye ofisi za mashirika ya ndege watakuelezea hadi utapewa notisi za kujisomea.

Usisahau kuuliza jinsi ya kutumia toilet ya kwenye ndege za ulaya maana nasikia huwa ni automatik sana.
Unaweza kuta pameandika 'Toilet" afu huoni kichumba, kumbe ni kabatani kadogooo kama kipunje cha mchele, ukikabonyeza tu choo kinakuja.
Usije ukatumia chupa ya maji ya uhai bure kujisevia.

Bado suala la msosi, kama hujui misosi kwa kireno au kiitaliano, beba mihogo ya kuaanga ya pale koko bich.

Na ukifika mastadam, konsentrate, ukizubaa kidogo unakonect kurudi TZ badala ya kwenda Paris, hapa mbinu mbadala ukifika JIA, tangaza utafutiwe mtu anayeenda paris unamfuata huyo huyo.

Nina ushauri mwingi ila acha nipige kazi kwanza, kama hujanielewa nibip kwa LIKE, sio PM.

Upo juu mamaa...ulienda Paris na ATR au vile vindege vidogo vya Costal tours!!
Kwenye mihogo ya koko bichi umeniacha hoi...yaelekea wewe ni mteja mzuri sana wa pale!!
 
Ukitaka kutoka nje labda uwe komoni flaya.

Lakini kama bado una blanket usoni, I swear tutakuona BBC, au dochi wele, alijazira au CNN unalilia kurudishwa TZ.
Watu siku ya kwanza kwenda Dar tu tulipotelea Kariakoo, tukaokolewa na ITV. Imagine walinifuata toka Tandika-Buza hadi Mikocheni.

Walosema kuku mgeni hakosi kamba mguuni walikuwa na maana sana.
Mimi sijaelewa; unataka utoke nje ya airport halafu baadaye uunganishe? For that nafikiri utahitaji visa.

Ila kama ni kuboard ndege nyingine mbona easy tu, boarding pass utapewa 2 hapa hapa Dar, moja ni ya kufika Amsterdam na ya pili ni ya kutoka a'dam kwenda Paris. Na hiyo inaonesha gate no na time; na uzuri wa airport za wenzetu kuna directives za kutosha, huhitaji hata kumuuliza mtu, kuna miscreen kibao inaoonesha flights na muda na boarding gate, vibao lukuki vya kuonesha directions za gates!

So worry not, visa card yako yakutosha kununua kahawa, books,wine nk. Ukiwa na Simu ya maana unatesa tu na line yako ya Voda!
 
wakuu naomba mnijulishe ni vitu gani vinahitajika mfano labda nafanya booking ya flight from Dar to Paris via amsterdam,au nataka kufika paris lakini lazima nipitie amsterdam,wale wazoefu naombeni msaada wenu.

Via amsterdam use KLM tumia travel agent au nenda mwenyewe Ofisi zao zilikuwa Haidery plaza kama sikosei! Via Dubai use Emirates!
 
I learned everything the hard way, no ready made.

Kwani sijui mie mambo yenu, kitu kidogo mnakompliketiii.

We nenda hata hapo sweat Easy au Osaka Masaki, unaagiza chakula, unaletewa makabrasha ya kujisomea.
Menyu yenyewe Chickeni breast, nimekua nikifuga kuku kijijini sijawahi ona matiti ya kuku.

Niliwatukana mgahawa mzima nikasepa zangu, nikaenda gonga chips kuku kwa Edo.
Pesa yangu mwenyewe inipasue kichwa lol.

Upo juu mamaa...ulienda Paris na ATR au vile vindege vidogo vya Costal tours!!
Kwenye mihogo ya koko bichi umeniacha hoi...yaelekea wewe ni mteja mzuri sana wa pale!!
 
Back
Top Bottom