Mwezi wa 6 mwaka huu nataraji kumaliza chuo nikahangaikie ajira.
Nikiwa mwaka wa kwanza nilipata mpenzi ambaye tunapendana saaana na lengo letu ni ndoa takatifu. Namheshimu sana mana ana msimamo.
Wana JF kwa hali ya kawaida ukiwa unaanza kazi hali huwa inakuwa tete, je nifanyeje niinuke mapema ili nifikie malengo ya maisha, then aliyewahi kutoka na mpenz cuo wakahangaikka wote hadi wakafanikiwa kuoana anipe uzoefu
Nikiwa mwaka wa kwanza nilipata mpenzi ambaye tunapendana saaana na lengo letu ni ndoa takatifu. Namheshimu sana mana ana msimamo.
Wana JF kwa hali ya kawaida ukiwa unaanza kazi hali huwa inakuwa tete, je nifanyeje niinuke mapema ili nifikie malengo ya maisha, then aliyewahi kutoka na mpenz cuo wakahangaikka wote hadi wakafanikiwa kuoana anipe uzoefu