Who Cares?
JF-Expert Member
- Jul 11, 2008
- 3,507
- 3,364
Tukutane kisha tufahamiane ili iweje???
1- mnataka kutambika?
2-mnataka kujuana makabila na mlikotoka ili tuanze kubaguana?
3- huyu mzanzibari na yule mzanzibara..dhambi ya ubaguzi haitakuacheniii
ki-msingi au hata ki-secondary mie sioni haja ya kukutana...ndio maana tunatumia fake id's ili tusifahamike so tukishakutana itakuwa haina maana tena ya kuficha id's zetu...
1- mnataka kutambika?
2-mnataka kujuana makabila na mlikotoka ili tuanze kubaguana?
3- huyu mzanzibari na yule mzanzibara..dhambi ya ubaguzi haitakuacheniii
ki-msingi au hata ki-secondary mie sioni haja ya kukutana...ndio maana tunatumia fake id's ili tusifahamike so tukishakutana itakuwa haina maana tena ya kuficha id's zetu...