Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,144
Najua kila moja atakuwa na mawazo yake ,,kwanza napenda kuchukua nafasi hii kumpa pole/kuwapa pole mh A.k.malecela na wana same kwa ujumla kwa haya yaliotokea....tunajua watanzania wote tuliwapenda ndugu zetu lakini MUNGU aliwapenda zaidi.....
Ndugu wapendwa kama mnavyoendelea kuona baadhi ya picha za maafa ya same tunaitaji kuwa na roho ya upendo kwa wale ndugu zetu walioathirika..zipo familia zimebakiza watoto hawana misaada,zipo nyumba zilizofyekwa,ndugu wapendwa zoezi hili tusimwachie wakina MENGI,KILANGO,TANGA CEMENT,na wengineo tunaomba tuchukulie kwa uzito...kwa mpango huu tunaomba tusaidie watu wale kwa hali na mali...na hasa zaidi SALA zako zinaitajika...kama unauwezo wa kufikisha chochote nii vizuri ukafanya hivyo ama ukauliza mawasiliano yoyote na MB MH A kilango....BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE
...........
Ndugu wapendwa kama mnavyoendelea kuona baadhi ya picha za maafa ya same tunaitaji kuwa na roho ya upendo kwa wale ndugu zetu walioathirika..zipo familia zimebakiza watoto hawana misaada,zipo nyumba zilizofyekwa,ndugu wapendwa zoezi hili tusimwachie wakina MENGI,KILANGO,TANGA CEMENT,na wengineo tunaomba tuchukulie kwa uzito...kwa mpango huu tunaomba tusaidie watu wale kwa hali na mali...na hasa zaidi SALA zako zinaitajika...kama unauwezo wa kufikisha chochote nii vizuri ukafanya hivyo ama ukauliza mawasiliano yoyote na MB MH A kilango....BWANA AMETOA NA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIBARIKIWE
...........