Heshima mbele wakuu!
Nathamini sana michango yenu katika jamii ya Tanzania.
Wadugu,uchaguzi unakaribia,imekua ni mazoea kama sio utamaduni,
kuona jukumu la kupiga kura linachangiwa kwa kiasi kikubwa na
wenzetu wanaoishi vijijini huku sisi tuliopata nafasi ya kuona mwanga wa elimu na dunia kwa ujumla tukitoa maoni ya nani hafai,anaboa,n.k
1.Sisi tuliopo ughaibuni, mnaonaje tukianzisha kampeni maalumu ya kitaifa
na kimataifa kutafuta fedha za msaada kama michango, ili tuwezeshe wasio na fedha za kutosha wajumuike nawe mwenye uwezo mzuri kifedha kurudi nyumbani kwaajili ya kupiga kura ya ushindi?
2.Kuepuka gharama hizo, ni kupata fursa ya kupiga kura tukiwa nje ya nchi,
je kwa miezi iliyobaki tunawezafanikisha jambo hili?
Tazama uzuri wa nchi unaoishi sasa, ni matunda ya mkakati mzuri waliojiwekea waasisi wa mataifa hayo,yamkini hatua zao za mwazo kabisa ktk mapambano zilikuwa katika level inayofanana na pendekezo kama hili.
Ni lini basi tutatoka katika uongozi huu wa mafisadi,wezi,wenye chuki,usiopenda wala kuthamini nchi na watu wake?
Chukua hatua, pamoja tunaweza.
Pole kwa waliokwazika!
Naomba kutoa hoja.
Nathamini sana michango yenu katika jamii ya Tanzania.
Wadugu,uchaguzi unakaribia,imekua ni mazoea kama sio utamaduni,
kuona jukumu la kupiga kura linachangiwa kwa kiasi kikubwa na
wenzetu wanaoishi vijijini huku sisi tuliopata nafasi ya kuona mwanga wa elimu na dunia kwa ujumla tukitoa maoni ya nani hafai,anaboa,n.k
1.Sisi tuliopo ughaibuni, mnaonaje tukianzisha kampeni maalumu ya kitaifa
na kimataifa kutafuta fedha za msaada kama michango, ili tuwezeshe wasio na fedha za kutosha wajumuike nawe mwenye uwezo mzuri kifedha kurudi nyumbani kwaajili ya kupiga kura ya ushindi?
2.Kuepuka gharama hizo, ni kupata fursa ya kupiga kura tukiwa nje ya nchi,
je kwa miezi iliyobaki tunawezafanikisha jambo hili?
Tazama uzuri wa nchi unaoishi sasa, ni matunda ya mkakati mzuri waliojiwekea waasisi wa mataifa hayo,yamkini hatua zao za mwazo kabisa ktk mapambano zilikuwa katika level inayofanana na pendekezo kama hili.
Ni lini basi tutatoka katika uongozi huu wa mafisadi,wezi,wenye chuki,usiopenda wala kuthamini nchi na watu wake?
Chukua hatua, pamoja tunaweza.
Pole kwa waliokwazika!
Naomba kutoa hoja.