Chama cha Chadema nakishauri kiamishe makao makuu ya chama kwenda Arusha. Hii itaimarisha cahama na kuweka misingi imara ya chama. Vilevile ningewashauri kuweka Branch kubwa Mwanza, Mbeya, Mara, Kigoma, Dar, Shinyanga, Manyara na Iringa.
Chama cha Chadema nakishauri kiamishe makao makuu ya chama kwenda Arusha. Hii itaimarisha cahama na kuweka misingi imara ya chama. Vilevile ningewashauri kuweka Branch kubwa Mwanza, Mbeya, Mara, Kigoma, Dar, Shinyanga, Manyara na Iringa.
CDM imeenea Tanzania nzima, mkoani ,wilayani hadi kata, CDM inajiandaa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 kwa kila kijiji na kitakuwa tayari kuchukua nchi 2015.
Uchaguzi wa mwaka jana majimbo 239 chadema ilisimamisha wagombea majimbo 80! Bado haijaenea kama unavyojidanganya
CDM imeenea Tanzania nzima, mkoani ,wilayani hadi kata, CDM inajiandaa kushiriki uchaguzi wa serikali za mitaa 2014 kwa kila kijiji na kitakuwa tayari kuchukua nchi 2015.
Wakapata Wabunge 23Uchaguzi wa mwaka jana majimbo 239 chadema ilisimamisha wagombea majimbo 80! Bado haijaenea kama unavyojidanganya
Kuenea aimaanishi kuwa lazima iwe na wagombea majimbo yote....acha analysis uharo za darasa la saba,CDM inafaamika kwa kila mtanzania sasa hivi,mtoto mdogo anafahamu kazi ya CDM....Zoa uharo wako hapo juu...maana umeaharisha badala ya kutoa golden comments unaleta magamba yako......
Kuenea aimaanishi kuwa lazima iwe na wagombea majimbo yote....acha analysis uharo za darasa la saba,CDM inafaamika kwa kila mtanzania sasa hivi,mtoto mdogo anafahamu kazi ya CDM....Zoa uharo wako hapo juu...maana umeaharisha badala ya kutoa golden comments unaleta magamba yako......
kwani nyie mlikosimamisha wagombea sehemu zote mmepata..??? Au kuweka wagombea kila sehemu ndiyo maana ya kuenea kila mahali..??uchaguzi wa mwaka jana majimbo 239 chadema ilisimamisha wagombea majimbo 80! Bado haijaenea kama unavyojidanganya
NI JAMBO LA AJABU WABUNGE 23 (IF YOU PUT IT THIS WAY) WAWAHANGAISHE WABUNGE ZAIDI YA 200.....!!! So kila siku kila kitu kule bungeni mtashinda kwa IDADI na si hoja............. NA NDIYO MAANA ILE YA WAZIRI MKUU KUSEMA UWONGO BUNGENI MPO KIMYAAAAAAAAAAAAA.......... ZEA WOZI NO HOJA Maana ile ilikuwa haina kupiga kura ............. NI FACTS TUU.....Wakapata Wabunge 23
Mkuu, kweli umenena Dar hamna kitu si tumeona jana watu kumi wanataka kuandamana kwenda kumtoa Mbowe, ilikuwa vichekesho pale Magomeni mapipa kwenye mataa watu wanaendelea na kazi zao kama kawaida huku wakiwashangaa, 110 ya polisi ilivyofika ilapiga kabomu kamoja ka machozi walisambaa wakaacha yebo yebo zao barabarani zinakanyagwa na dalaladala, bora hamishieni ofisi zenu Kilimanjaro na Arusha
Pole sana mtoto kwa akili za kushikiwa kiasi cha kushindwa hata kuelewa vitu maswala madogo tu. Get it in to your head;concept ya maandamano si idadi ya waandamanaji barabarani![/QU
Ndio nguvu ya UMMA
na mlichakachua viti vingapi?Wakapata Wabunge 23