Mao ze dong
JF-Expert Member
- Aug 28, 2012
- 941
- 1,006
Sasa mpunguze kulialia mkipigwa, maana kwenye kupigana kuna kupiga na kupigwa.
kwa hiyo mwandish alikua chadema?
Duh,unashabikia kifo cha mwenzako na wote ni njia moja
Sasa mpunguze kulialia mkipigwa, maana kwenye kupigana kuna kupiga na kupigwa.
Hii ni dunia......hakuna binadamu wa kawaida anayeweza kushangilia mauaji hata kama ni ya adui yake......kumbuka leo ni kwa Daudi(R.I.P) .....kesho inaweza kuwa kwako au kwa ndugu yako wa karibu......hutakufa kwenye maandamano ya CDM manake wewe sio mwanachama wao ila utauliwa hata na majambazi.......narudia tena hii ni dunia!
Hilo kwake halipo ndugu yangu na ndio maana anashabikia kifo cha Daudi (R.I.P)......yeye ni mkamilifu sana hivyo hawezi kukumbwa na chochote cha bahati mbaya......anajua atakufaje, wapi ? na lini? ndio mana haoni tatizo kufurahia kifo cha mwenzie!
Ndugu zangu wan JF embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni. Mimi sio mnazi wala mwanachama wa chama chochote ila kila ninaposikia CHADEMA wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa.
Maoni nionavyo mimi ni kama vile CHADEMA wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa.Hivi CHADEMA wakiahirisha mkutano wao mpaka siku watakokubaliana na jeshi la polisi kosa linakuwepo wapi?
Hivi hatuoni kwamba uhai wa binadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafadhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakini kama CHADEMA wangefuata maagizo yao asingekufa mtu Iringa,Morogoro wala Arusha.
Nawasilisha wadau
Kwa mujibu wa Katiba Polisi hawana uwezo wa kuzuia watu kuandamana kwa amani wala kuzuia mikutano ya chama chochote cha siasa. Wajibu wa Polisi ni kuhakikisha amani na utulivu katika shughuli zote za kisiasa za vyama yaani kuwasindikiza kwenye maandamano na kuwatia nguvuni wale watakaokiuka amani na uhuru wa wengine. Jeshi la Polisi hapa bila ya hata tone la aibu limekuwa kama tawi la CCM kwa kutekeleza kila wanaloelekezwa na mavuvuzela wa CCM kwa mfano hakukuwa na uhalali wa Polisi kuzuia maandamano ya CHADEMA Morogoro ati kwa sababu 'bararara nyembamba' wakati CCM walikuwa na shamrashamra za maandamano hayo hayo mitaani wakiandamana kuwasindikiza wagombea waliokuwa wakirudisha fomu za kugombea nafasi katika jumuia ya wazazi wa CCM! Na kule Iringa vile vile sababu zilizotolewa ni za unyanyasaji na kuwahujumu CHADEMA ati 'Muda wa sensa umeongezwa' wakati mahali pengine nchi hii hii CCM walikuwa katika heka heka za kampeni mbalimbali ikiwemo ile ya Bububu Zanzibar ambako kunaendelea kampeni za kuziba nafasi iliyo wazi! Kwa kifupi Polisi wa Tanzania hawana adabu hata chembe kwa waajiri wao ambao ni wananchi wanaowanyanyasa,kuwateka nyara, kuwajeruhi, kuwatesa, kuwamwagia tindikali na kuwaua kwa visingizio visivyokuwa na uzito hata kidogo. Ingekuwa serikali yenye maadili Mkuu wa Jeshi la Polisi angejiuzulu kuanzia tukio la kule Arusha, lakini badala ya kuwajibika wamekuwa bize kutunga uongo mbalimbali kuhalalisha vitendo vyao vya kihuni, kibabe na kishenzi dhidi ya raia waliowaajiri. Ipo siku watajibu kila nukta ya uovu waombeleya jamii au watafute pa kukimbilia.Ndugu zangu wan JF embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni. Mimi sio mnazi wala mwanachama wa chama chochote ila kila ninaposikia CHADEMA wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa.
Maoni nionavyo mimi ni kama vile CHADEMA wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa.Hivi CHADEMA wakiahirisha mkutano wao mpaka siku watakokubaliana na jeshi la polisi kosa linakuwepo wapi?
Hivi hatuoni kwamba uhai wa binadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafadhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakini kama CHADEMA wangefuata maagizo yao asingekufa mtu Iringa,Morogoro wala Arusha.
Nawasilisha wadau
MNAZI HAJIFICHI(utamjua kwa LUGHA na mitazamo yake),We unafikiri POLICCM wataridhika lini CDM wafanye mkutano?,Kama CDM wanafanya Makusudi POLICCM wanafanya kwa BAHATI mbaya?, Acha U-Mabwepande wakoNdugu zangu wan JF embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni. Mimi sio mnazi wala mwanachama wa chama chochote ila kila ninaposikia CHADEMA wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa.
Maoni nionavyo mimi ni kama vile CHADEMA wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa.Hivi CHADEMA wakiahirisha mkutano wao mpaka siku watakokubaliana na jeshi la polisi kosa linakuwepo wapi?
Hivi hatuoni kwamba uhai wa binadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafadhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakini kama CHADEMA wangefuata maagizo yao asingekufa mtu Iringa,Morogoro wala Arusha.
Nawasilisha wadau
kwa arusha ninajua kwamba kabisa polisi walichemka lakini vipi seemu nyingine ambapo chadema waliambiwa kuna sensa na wenyewe wakanagania kufanya mkutano
Ndugu zangu wan JF embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni. Mimi sio mnazi wala mwanachama wa chama chochote ila kila ninaposikia CHADEMA wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa.
Maoni nionavyo mimi ni kama vile CHADEMA wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa.Hivi CHADEMA wakiahirisha mkutano wao mpaka siku watakokubaliana na jeshi la polisi kosa linakuwepo wapi?
Hivi hatuoni kwamba uhai wa binadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafadhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakini kama CHADEMA wangefuata maagizo yao asingekufa mtu Iringa,Morogoro wala Arusha.
Nawasilisha wadau
Ndugu zangu wan JF embu leo naomba tuongelee hii kitu kutoka moyoni. Mimi sio mnazi wala mwanachama wa chama chochote ila kila ninaposikia CHADEMA wanataka au wanafanya mkutano mkubwa wa hadhara basi watazuiliwa na polisi then wao watakaidi amri hiyo mwishowe watafukuzana kwa marungu na mabomu ya machozi mpk watu wasio na hatia kufa na wengine kujeruhiwa.
Maoni nionavyo mimi ni kama vile CHADEMA wanfanya makusudi ili watu walichukiie jeshi la polisi baada ya kujeruhiwa.Hivi CHADEMA wakiahirisha mkutano wao mpaka siku watakokubaliana na jeshi la polisi kosa linakuwepo wapi?
Hivi hatuoni kwamba uhai wa binadamu una thamani kuliko hizi siasa za bongo tafadhali jamanii tujirekebishe hata kama polisi wamekosea lakini kama CHADEMA wangefuata maagizo yao asingekufa mtu Iringa,Morogoro wala Arusha.
Nawasilisha wadau
UMEANZA vizuri ila mwisho UKAJIFUNUA GAMBA LAKO.
Nani kakuambia POLISI wanaruhusiwa KUZUIA au KURUHUSU Mikutano/Maandamano?
Wao wana taarifiwa tu ili watowe ulinzi na hayo mengine hayawahusu.
Hiyo ndiyo KATIBA YA NCHI kwa sasa. Kama mambo huyajui KAA KIMYA.
HAKI HAIOMWBI ILA INAPIGANIWA.