Man 4 M4C
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 743
- 114
Acha unafiki cdm wana silaha gani? Huoni kwamba polisi wanatumiwa na ccm na serikali yake ili kuwadhoofisha? wewe ni gamba ndio maana unatoa maono ya kigamba gamba. Pilisi wameua na wanaendelea kuaa, fuatilia kila sehemu. Au baba yako ni mjumbe wa nyumba kumi za kiccm, ccm nini?