dudupori JF-Expert Member Jan 6, 2012 1,793 1,903 Sep 22, 2012 #1 Usikimbilie kukua, omba kubalehe kifikra.. Cku njema wandugu!
Arabela JF-Expert Member Jul 24, 2012 3,127 2,227 Sep 22, 2012 #2 dudupori said: Usikimbilie kukua, omba kubalehe kifikra.. Cku njema wandugu! Click to expand... umeona eeh?
dudupori said: Usikimbilie kukua, omba kubalehe kifikra.. Cku njema wandugu! Click to expand... umeona eeh?
Filipo JF-Expert Member Jan 6, 2011 9,342 5,536 Sep 22, 2012 #3 dudupori said: Usikimbilie kukua, omba kubalehe kifikra.. Cku njema wandugu! Click to expand... Hii inatakiwa kwenye jukwaa la watoto! Huku kwa wakubwa itakuwa imechelewa sana. Wameshapitia hayo mapito yote!
dudupori said: Usikimbilie kukua, omba kubalehe kifikra.. Cku njema wandugu! Click to expand... Hii inatakiwa kwenye jukwaa la watoto! Huku kwa wakubwa itakuwa imechelewa sana. Wameshapitia hayo mapito yote!
Katavi Platinum Member Aug 31, 2009 41,983 12,702 Sep 22, 2012 #4 dudupori said: Usikimbilie kukua, omba kubalehe kifikra.. Cku njema wandugu! Click to expand... Mbona nilishabalehe kifikra zamani? Wewe bado?
dudupori said: Usikimbilie kukua, omba kubalehe kifikra.. Cku njema wandugu! Click to expand... Mbona nilishabalehe kifikra zamani? Wewe bado?
dudupori JF-Expert Member Jan 6, 2012 1,793 1,903 Sep 22, 2012 Thread starter #5 Filipo said: Hii inatakiwa kwenye jukwaa la watoto! Huku kwa wakubwa itakuwa imechelewa sana. Wameshapitia hayo mapito yote! Click to expand... mkuu Filipo hujakutana na watu wazima wenye fikra za kipoyoyo bora hata na za mtoto wa nursery?
Filipo said: Hii inatakiwa kwenye jukwaa la watoto! Huku kwa wakubwa itakuwa imechelewa sana. Wameshapitia hayo mapito yote! Click to expand... mkuu Filipo hujakutana na watu wazima wenye fikra za kipoyoyo bora hata na za mtoto wa nursery?
dudupori JF-Expert Member Jan 6, 2012 1,793 1,903 Sep 22, 2012 Thread starter #6 Katavi said: Mbona nilishabalehe kifikra zamani? Wewe bado? Click to expand... hahahaaaa.... Hongera mkulu mie ndo napitia huko.
Katavi said: Mbona nilishabalehe kifikra zamani? Wewe bado? Click to expand... hahahaaaa.... Hongera mkulu mie ndo napitia huko.
dudupori JF-Expert Member Jan 6, 2012 1,793 1,903 Sep 22, 2012 Thread starter #7 Arabela said: umeona eeh? Click to expand... nimeona Arabela, mambo zako!