Wazo la leo..

Tulizo

JF-Expert Member
Jun 13, 2011
848
662
...........
n.jpg
 
Kweli wahenga hawakukosea waliposema "fadhila mfadhili ......."
 
hata wanawake wangekuwa na nguvu wangewafunga wanaume tena kwa kuwatundika juu ya miti!
 
Wengi tunashindwa kujua mapenzi hayana fadhila na ukipenda boga ..basi ulipende na ua lake.

Ndio maana kuna matatizo sana kati ya relationship nyingi kwani utakuta mtu akinuna tu.. anakumbusha ada zake alizokulipia wakati unasoma..Tenda mema nenda zako.. ukiamua kupenda sahau na wala usiingize fadhila zako.. Mapenzi na fadhila ni vitu viwili tofauti..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom