Fred Katulanda
JF-Expert Member
- Apr 1, 2011
- 374
- 509
Watanzania ni wepesi kudanganyika.
Kipigo cha Ulimboka kimelenga kuwagawa Watanzania ili wasiweze kuona ukweli wa madai ya madaktari na udhaifi wa serikali katika kutekeleza ahadi zao.
Aidha kwa kipigo hiki watanzania badala ya kujadili mstakabali wa nchi inayoamua kupiga wanaoomba haki inawaadhibu kwa kichapo, wanaanza kutukanana wenyewe kwa wenyewe.
Utambue kuwa madaktari wakigoma wasigome wao hawataathirika sana kwa sababu ya huduma mbovu ya afya. Ni sisi, hata kama wewe unawapendelea watawala.
Badala ya kuwauliza hao wanaotumia fedha zetu kwenda India imekuwaje sisi tunakula mbovu mahospitalini na wao ndio waliopewa dhamana ya kuboresha huduma, sisi tunaanza kugombana.
Ulimboka akifa kwa kwa kupigwa, wewe utakufa kwa kupewa huduma mbovu hospitalini.
Kalagabhao!
Kipigo cha Ulimboka kimelenga kuwagawa Watanzania ili wasiweze kuona ukweli wa madai ya madaktari na udhaifi wa serikali katika kutekeleza ahadi zao.
Aidha kwa kipigo hiki watanzania badala ya kujadili mstakabali wa nchi inayoamua kupiga wanaoomba haki inawaadhibu kwa kichapo, wanaanza kutukanana wenyewe kwa wenyewe.
Utambue kuwa madaktari wakigoma wasigome wao hawataathirika sana kwa sababu ya huduma mbovu ya afya. Ni sisi, hata kama wewe unawapendelea watawala.
Badala ya kuwauliza hao wanaotumia fedha zetu kwenda India imekuwaje sisi tunakula mbovu mahospitalini na wao ndio waliopewa dhamana ya kuboresha huduma, sisi tunaanza kugombana.
Ulimboka akifa kwa kwa kupigwa, wewe utakufa kwa kupewa huduma mbovu hospitalini.
Kalagabhao!