Bigirita
Platinum Member
- Feb 12, 2007
- 15,986
- 7,366
Mkuu, I tell you me, kuna wanawake wanaotaka waneume wa design hii!! wanaoonekana warembeo!! nyusi, ngozi, sura, manukato n.k. yaani wanataka wanaume walio kartibia na tabia za kike, kivingine ni kwmba, wanataka wanawake wenzao ila kwa sababu za kimila na kitamaduni, hawawezi kuwapata au kuwa nao waziwazi!!Nakubaliana nawe kabisa, Mwanaume yeyote anayenyolewa nyusi na kufanyiwa waxing basi ni lazima ana kasoro fulani katika uanaume wake. Unyolewe nyusi na kufanyiwa waxing ili iweje? uwe na macho ya kurembuka na mwili laini kama mwanamke? si ajabu mwanaume kama huyu anaweza kula hata kungu manga ili macho yake yarembuke zaidi.