Imedhihirika kwamba Viongozi waTanzania nchi imewashinda...Mnaonaje tukaingia mkataba na nchi moja ya Magharibi iliofanikiwa kiuchumi kuendesha nchi yetu kwa miaka 100 ili kuboresha Maisha ya Mtanzania..Miaka 100 ya kujenga mabarabara,shule,hospitali na mengine muhimu...na wao wawe na full control ya kila kitu..vipi wadau mnaonaje hio?