Mkeshahoi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2009
- 2,469
- 281
Wadau.. Ili kuongeza tija (na kupunguza upendeleo wa uteuzi)wa sekta nyeti za nchii km TRA,TPA, maliasili, Miundombinu.... inapotakiwa kuteua mkurugenzi mkuu wa taasisi husika..rais wa Jamhuri ya Muungano angepewa nguvu ya kupendekeza(si kuteua mtu) majina 3 ya juu... Wasailiwa hao wakahojiwe bungeni na bunge lipitishe mmoja wao kuongoza sekta tajwa hapo juu!