Exaud J. Makyao
JF-Expert Member
- Nov 30, 2008
- 1,518
- 22
Sheria ni msumeno,
Mahakama ya umoja wa mataifa inayowahukumu wale waliopanga mauaji ya kimbari nchini Rwanda; imemhukumu kwenda jela miaka 30 waziri wa zamani wa mambo ya ndani.
Mahakama hiyo ya kimataifa ya uhalifu wa kivita, yenye makao yake nchini Tanzania, imesema callixte Kalimanzira, mshirika wa karibu wa rais na waziri mkuu wakati wa mauaji, alipatikana na hatia ya mauaji ya kimbari na kula njama ya kufanya mauaji.
Mahakama ya umoja wa mataifa inayowahukumu wale waliopanga mauaji ya kimbari nchini Rwanda; imemhukumu kwenda jela miaka 30 waziri wa zamani wa mambo ya ndani.
Mahakama hiyo ya kimataifa ya uhalifu wa kivita, yenye makao yake nchini Tanzania, imesema callixte Kalimanzira, mshirika wa karibu wa rais na waziri mkuu wakati wa mauaji, alipatikana na hatia ya mauaji ya kimbari na kula njama ya kufanya mauaji.