Waziri wa Viwanda Ciril Chami apata Ajali

Tumpe pole. Leo nimeshuhudia magari kibao yakiwemo ya Serikali yakielekea maeneo ya Tanga/Kilimanjaro/Arusha. Nimeshuhudia basi moja likiungua kati ya Chalinze na Segera majira kama ya saa tano asubuhi hivi na wakati huo Waziri wa Uchukuzi naye akipita katika eneo la ajali na dude lake ambalo nami nalihudumia kwa kodi!! Huenda tukasikia ajali nyingi manake magari yalikuwa ni mengi mno nikadhani dar hakuna magari kabisa, lahaula!! kufika dar nakutana na foleni!!
 
Ni muhimu tukajikumbusha historia wakati tunampa pole huyu waziri

Ni Dr Ciril Chami ndiye aliyekuwa mshauri wa uchumi wa Mkapa, hivyo yeye ndiye achitect wa ubinafsishaji holele pamoja na ufisadi uliofanyika wakati wa Mkapa
 
yeye kama cyril chami nampa pole ila yeye kama waziri kwa tiketi ya chama cha magamba huo ni ujumbe kwake na huyu mtu kwanini kila mara amekuwa akipata ajali Pia chami huyu ni mtoto wa shangazi yake na Deusi Malya muuwaji wa chacha wangwe kwa hiyo hilo nalo nipigo na ni muda wa kutafakari anayoyafanya kama ni sahihi
 
yeye kama cyril chami nampa pole ila yeye kama waziri kwa tiketi ya chama cha magamba huo ni ujumbe kwake na huyu mtu kwanini kila mara amekuwa akipata ajali Pia chami huyu ni mtoto wa shangazi yake na Deusi Malya muuwaji wa chacha wangwe kwa hiyo hilo nalo nipigo na ni muda wa kutafakari anayoyafanya kama ni sahihi

Pole Bwana Chami. Kama kumbukumbu zangu ni sahihi hii itakuwa ni ajali ya pili kubwa kumkuta huyu Bwana. Ajali mbaya zaidi ilimkuta alipokuwa jeshini Makutupora yeye na wenzake 10 kutoka kombania B walipata ajali mbaya ya kuanguka kwa lori wakati wanatoka mayamaya kubeba magogo. Magogo yaliwaangukia na kuwafunika wote lakini bahati nzuri hakuna aliyekufa. Ukimwangalia vizuri kichwani, utaona alama alizopata kwenye hiyo ajali.

Tiba
 
dah sasa mbege na nyama tutaipata wapi tena.mfadhili kaondoka.eh ruwa mangi. mazishi ni lini niwahi umbwe nikale nyama na kunywa pombe ya mbege ya mwishomwisho.sijui kama tutampata tena mbunge mgawa pombe mzuri kama huyu
 
Poleni wote mliopatwa na ajali. Nawatakia kila la heri mpone haraka na kurudia afya zenu kama zilivyo kabla ya ajali hii mbaya.
 
Kama akipona ajibu tuhuma za kutembea na gari la Serikali siku ya sikukuu.

Kama akifa estate yake ilipe.

Tunataka katiba mpya
.
 
Kama akipona ajibu tuhuma za kutembea na gari la Serikali siku ya sikukuu.

Kama akifa estate yake ilipe.

Tunataka katiba mpya
.

Mkuu umejuaje kama alikuwa anatumia gari yetu? Ila kama ni kweli basi wako wengi na waache mara moja. Au tuwe tunayapopoa hayoagari na mawe kama wanatumia kwa matumizi binafsi
 
Kama akipona ajibu tuhuma za kutembea na gari la Serikali siku ya sikukuu.

Kama akifa estate yake ilipe.

Tunataka katiba mpya
.

Mkuu hilo nalo neno!! Viongozi inabidi watenganishe shughuli za serikali na shughuli binafsi, siamini kama Dr. Chami alikuwa akienda huko kikazi wakati huu wa sikukuu na kama alikuwa haendi kikazi ilibidi asitumie gari ya serikali (Mafuta, dereva na huenda per diem). Pamoja na kumpa pole kwa ajali lakini haya ya matumizi ya magari ya serikali pia ni ya kuyaangalia. Masikini kama alikuwa na dereva wa serikali ina maana dereva yeye hakuwa na haki ya kusherehekea sikukuu na wanawe achilia mbali wazazi wake huko ushagoo!? Au dereva naye amegeuka kuwa sehemu ya familia ya mh.?
 
Mkuu umejuaje kama alikuwa anatumia gari yetu? Ila kama ni kweli basi wako wengi na waache mara moja. Au tuwe tunayapopoa hayoagari na mawe kama wanatumia kwa matumizi binafsi

Mkuu ukiyapopoa utakuwa unaharibu na kuyaharibu magari yetu. Tuwe tunawazomea tu wataacha!!
 
Sasa sifurahii ajali lakini labda kwa kuwa mashangingi yao nayo yanapata ajali basi pengine wataanza kutatua tatizo la ajali tz ambazo kila siku zinaua watu na serikali haichukui hatua madhubuti.

Muhosin unahitaji ukombozi wa akili, (saikolojia) serious, nitafanya maombi kwa ajili yako. unaichukia sana serikali. It is believed 90% ya ajali barabarni husababishwa na uzembe wa madereva. Sio suala la kuilaumu serikali. Kuna mwanafasihi mmoja anasema if u want to see changes, be a change agent, that look at urselef kwanza. Hata great philisopher Jesus anasema jitoe kibanzi cha jicho lako kwanza. take ur part first. Inawezekana hunaa lolote ambalo umefanya zaidi ya kupiga kelele humu JF. Ukipanda gari dereva akienda mwendo kasi waona sawa tu, akiendesha huku anaongea na simu waona bwee tu, ajali ikitokea u blame the government. Binadamuuuu.
 
Mkuu hilo nalo neno!! Viongozi inabidi watenganishe shughuli za serikali na shughuli binafsi, siamini kama Dr. Chami alikuwa akienda huko kikazi wakati huu wa sikukuu na kama alikuwa haendi kikazi ilibidi asitumie gari ya serikali (Mafuta, dereva na huenda per diem). Pamoja na kumpa pole kwa ajali lakini haya ya matumizi ya magari ya serikali pia ni ya kuyaangalia. Masikini kama alikuwa na dereva wa serikali ina maana dereva yeye hakuwa na haki ya kusherehekea sikukuu na wanawe achilia mbali wazazi wake huko ushagoo!? Au dereva naye amegeuka kuwa sehemu ya familia ya mh.?
Na leo mchana nimekutana na Magufuli Bagamoyo Road na mgari mkuuubwa wa serikali. Yale yale!

Sikukuu ya Pasaka viongozi mmewang'ang'ania madereva, sawa hamjali mali za serikali, basi hata utu kwa hawa watumishi wenzenu hamna? Wenzenu hawana sikukuu?
 
Back
Top Bottom