Candid Scope
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 11,886
- 6,883
Waziri wa ulinzi wa Cyprus amejiuzuru kutokana na scandoo ya mabomu kulipuga kutoka ghala la silaha la jeshi na kusababisha hasara kubwa. Taarifa ya habari za kimataifa kutoka CNN, zinasema ni kitu kisichovumilika katika utendaji na uwajibikaji wa kiongozi ha hivyo kulazimika kujiuzuru.
Serikali ya Tanzania licha ya kutokea zaidi ya mara moja lakini hakuna kujiuzuru na wala kuonywa na viongozi wa juu hasa waziri mhusika Husein Mwingi akitangaza kwamba hana kosa na hajiuzuru. Hii ni aibu sana kwa utendaji wa serikali nchini mwetu. Je serikali inajifunza nini kutoka kwa hawa wenzetu wanavyowajibika>
Serikali ya Tanzania licha ya kutokea zaidi ya mara moja lakini hakuna kujiuzuru na wala kuonywa na viongozi wa juu hasa waziri mhusika Husein Mwingi akitangaza kwamba hana kosa na hajiuzuru. Hii ni aibu sana kwa utendaji wa serikali nchini mwetu. Je serikali inajifunza nini kutoka kwa hawa wenzetu wanavyowajibika>