mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
matuta mengine ni Upuuzi mtupu kama pale mwananyamala mita 20 tuta hiyo sio haki ni kuongeza foleni na na kuaribu magari , badal ya hizo hela kutengezeza mifreji wao wanongeze matuta Mkurugenzi wa jiji kwa matuta ya mwananyamala anaonekana shule hakuna hata saizi ya magari hajui gari dogo mpaka upinde mara tano ndio unapanda, njoo pale Bunju a magari yanapita 180,000 pamoja na pale boko, badala yake wanapita pembeni kunaanza kubomoka